popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
Yalishanikuta sana,ktk njia nilizoapply zikaleta majibu sahihi ni hii,
Niliwaza kuchepuka nikumiza hisia zangu
Nilitumia nguvu nikaishia kupata aibu maana vurugu wakati wa suruhu ilibidi kuhadithia chanzo,
Nililazimisha na nikatoa dozi kubwa lkn niliishia kuumia
Lkn nilipojifanya sijari
Haraka kabisa MTU karejea kwenye reli
Niliwaza kuchepuka nikumiza hisia zangu
Nilitumia nguvu nikaishia kupata aibu maana vurugu wakati wa suruhu ilibidi kuhadithia chanzo,
Nililazimisha na nikatoa dozi kubwa lkn niliishia kuumia
Lkn nilipojifanya sijari
Haraka kabisa MTU karejea kwenye reli
Hongera kwa kutoa ushauri bora....Agiza Bia kwa Mangi nakuja lipa