Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,678
- 19,209
Lazma unyimwe unyumba kama mambo yenyewe ndiyo haya...
Hamtoshelezi!Hamjui tu...!ukute unamboa kitandani..bora akae na utamu wake..au ana mimba..au ana stress..au una gubu sana kama La Magu..
yote kwa yote nenda kwa Makonda anapenda kesi za hovy hovyo kama hizi..au km uko mikoa ya nyanda za juu za kusini nenda kwa Mkuu wa mkoa qa Mbeya..Chalamila..!
Mkiambiwa mle na mfanye kazi mnaona watu wazima tumepitwa na Wakati.
Ukipewa mzigo na mkeo humalizi hata dakika tano chali. Huna chovyo chovyo tuu kama jogoo.
Ukimaliza kibao cha nguruwe haisimami tena hata ipepewe na Panga boya.
Kwa nini asikunyime.
Ukiona mwanamke hakudai Sex ila wewe ndio unadai kila mara basi ujue humfikishi kileleni.
Demu ukimpiga akafika anapotaka. Kila muda atadai hata kama anastress.
Ukimgombeza mtoto analowesha chupi.
Ukitabasami mtoto analowesha chupi.
Yaani akisikia sauti yako mtoto anahamu ya kusex.
Anataka kila mara.
Ukiona Mkeo/manzi yako yupo hivi basi jua anakupenda na pia unamfikisha kunako.
Mkuu,huyu ndugu kanyimwa "u-house cola" hadi kapagawa. Akimuacha tutakuta kapanga Milembe "hotels"?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muache
Karibu sana😂😂Asante kutuwakilisha wanawake..huwa iko hvyo!
Kama sababu gani labda hebu funguka mkuuSababu its not about shoo tu,
Hauwajui wanawake wewe
Ndo hivo mwenye Jiji kasema mimi nani nibishe
Dada Mange kasemaAcha kumdanganya huyu mwenyewe unaemtuma kwake kwanza hana uhakika kama yule mtoto wa kwake, pili na ile wenzere pale nyuma hana lolote ni among wa vibamia kama rafiki yake Lemutuz
da nimecheka eti hoja za msingi mke kaolewa apigwe fimbo hoja za msingi azitoe balaa ya kutafunwaMke hawezi kukunyima unyumba bila sababu za msingi,hapo labda shoo zako unapiga chini ya kiwango,au ana hoja zake nyingine za msingi hutaki kuzisikiliza.
Nenda kashtaki kwa parokoWakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
Wakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?
nenda kanisani kwa Dr kkkt anaitwa shoo atakusaidiaWakuu Leo ni siku ya tatu shemeji yenu yaani mke wangu kaamua kuficha uchi,Sasa sitaki kutumia mabavu Mana nitakua Kama nabaka
Nipeni ushauri niende ustawi wa jamii au dawati la jinsia?