Nimenasa!

Nimenasa!

98abe4cac8802ed9db1d48971bf4e9ae.jpg

Thank you Heaven on Earth you are such a brilliant woman...nakupendajeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Haujaelewa nini hapo katika picha ya heaven on desert?
 
sasa wewe unaogopa nini kumwambia kuwa tunakula maisha tu ila mimi nina demu wangu mwenye maelongo nae.
 
Yani we hujui bajeti, hapo ungebinafsisha muanze kuishi wote, chumba chako mnakifanya bedroom, chake sittingroom....mjini mipango.
 
sasa wewe unaogopa nini kumwambia kuwa tunakula maisha tu ila mimi nina demu wangu mwenye maelongo nae.

Kwa nnavyomuona anaweza kunitegeshea nikaza nae..wl kil myself for tht....
 
Yani we hujui bajeti, hapo ungebinafsisha muanze kuishi wote, chumba chako mnakifanya bedroom, chake sittingroom....mjini mipango.

Hahhah....when t wil turn to bad tyms ndo ntajuta...
 
kwani ana tatizo gani? haiwezakani kabisa yeye kuwa mke?.na pi a mbn ni rahisi mwambie tuu kuwa una mtu wako kukuelewa sasa?
 
kwani ana tatizo gani? haiwezakani kabisa yeye kuwa mke?.na pi a mbn ni rahisi mwambie tuu kuwa una mtu wako kukuelewa sasa?

Hana tu vigezo vya kua mke wang....wazo la kumwambia naliona n jema zaid
 
Yaleyaleee ninayosemaga ... wanawake mara zote huwa 'wanatungoa' kuliko hata tunavyowangoa, ndo haya sasa! USHAURI: Kwa hiyo situesheni yako, ur inferior, amekutumia ukatumika and now baada ya kukuona mtamu na unafaa anataka kukumiliki, fanya hivi, kwanza mwambie akulipe kwa huduma ulizokuwa unampa, akishindwa ... mpige chini tena kwakumwangalia machoni kwani sio chaguo lako ... aggrrrhhhhhhh
 
Yaleyaleee ninayosemaga ... wanawake mara zote huwa 'wanatungoa' kuliko hata tunavyowangoa, ndo haya sasa! USHAURI: Kwa hiyo situesheni yako, ur inferior, amekutumia ukatumika and now baada ya kukuona mtamu na unafaa anataka kukumiliki, fanya hivi, kwanza mwambie akulipe kwa huduma ulizokuwa unampa, akishindwa ... mpige chini tena kwakumwangalia machoni kwani sio chaguo lako ... aggrrrhhhhhhh

Hahahha...wat a piece of advice...
 
Hana tu vigezo vya kua mke wang....wazo la kumwambia naliona n jema zaid
Penzi la kung'ang'aniza ni gumu sana kwasababu wewe utaumia kwakujilazimisha kuwa nae, na yeye ataumia kwa kuwa utakuwa humtreat inavyopaswa mwambie ukweli ili ujifree toka kwake .
Ila usirudie tena mambo ya kuanzisha mahusiano ambayo unaona hutafika mbali nayo.
 
Penzi la kung'ang'aniza ni gumu sana kwasababu wewe utaumia kwakujilazimisha kuwa nae, na yeye ataumia kwa kuwa utakuwa humtreat inavyopaswa mwambie ukweli ili ujifree toka kwake .
Ila usirudie tena mambo ya kuanzisha mahusiano ambayo unaona hutafika mbali nayo.

There u are.....kwa kwel i wil never again!...not wth some one's feelings aisee...
 
Wasalaaam....

Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....

Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...I beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...

Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)

Basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....

Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....

To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....


Tafuta nyumba sehemu nyingine mbali kabisa uhamie!!!
 
Back
Top Bottom