Aah!!! Mtandao huoooooo
Ili niondoke naka-kid!..tehe
mama mkwe haya maombi hatari sana hasa ya kulegesa dushelele
Yaleyaleee ninayosemaga ... wanawake mara zote huwa 'wanatungoa' kuliko hata tunavyowangoa, ndo haya sasa! USHAURI: Kwa hiyo situesheni yako, ur inferior, amekutumia ukatumika and now baada ya kukuona mtamu na unafaa anataka kukumiliki, fanya hivi, kwanza mwambie akulipe kwa huduma ulizokuwa unampa, akishindwa ... mpige chini tena kwakumwangalia machoni kwani sio chaguo lako ... aggrrrhhhhhhh
Penzi la kung'ang'aniza ni gumu sana kwasababu wewe utaumia kwakujilazimisha kuwa nae, na yeye ataumia kwa kuwa utakuwa humtreat inavyopaswa mwambie ukweli ili ujifree toka kwake .Hana tu vigezo vya kua mke wang....wazo la kumwambia naliona n jema zaid
Penzi la kung'ang'aniza ni gumu sana kwasababu wewe utaumia kwakujilazimisha kuwa nae, na yeye ataumia kwa kuwa utakuwa humtreat inavyopaswa mwambie ukweli ili ujifree toka kwake .
Ila usirudie tena mambo ya kuanzisha mahusiano ambayo unaona hutafika mbali nayo.
Wasalaaam....
Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....
Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...I beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...
Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)
Basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....
Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....
To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....
Thank you Heaven on Earth you are such a brilliant woman...nakupendajeeeeeeeeeeee