Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Akijileta namtibu tu acha hizo,kwani ye hamna macho na hagundui dalili kwamba sina malengo naye,wanawake wengine kuforce tu mapenzi kwa watu akishaguswa anaanza kulalamika
Kwa nnavyomuona anaweza kunitegeshea nikaza nae..wl kil myself for tht....
Akijileta namtibu tu acha hizo,kwani ye hamna macho na hagundui dalili kwamba sina malengo naye,wanawake wengine kuforce tu mapenzi kwa watu akishaguswa anaanza kulalamika
Ujana maji ya moto... Mwambie kama yupo tayari muwe sex partiners awe na boy wake na wewe girl wako na kama ukileta girl wako hapo anatakiwa awe mdogo na asimind ... Hiyo inawezekana na itakuwa nzuri sana... Ila usisahau kutumia condom na kujitahidi kuacha uzinzi..
Unamfundisha Mtu MBINU za uzinzi na matumizi ya kondomu juu then unasema jitahidi kuacha uzinzi, wtf
miminafanya kidogo il ahuyu anafanya sana... kwa hiyo kidogo kidogo mwishowe naacha kabisa kufaya uzinzi nianza kufanya tendo la ndoa
Njia salama.ni kuhama mkuu tofauti na hapo cjui kama.utanasuka kirahc
Hahaha...kirahc rahc tu ivo....
Ujana maji ya moto... Mwambie kama yupo tayari muwe sex partiners awe na boy wake na wewe girl wako na kama ukileta girl wako hapo anatakiwa awe mdogo na asimind ... Hiyo inawezekana na itakuwa nzuri sana... Ila usisahau kutumia condom na kujitahidi kuacha uzinzi..
Naam mambo yapo simple bana unajua vjana wa sasa tunaogopa kuoa ila tunapenda totoz madhara yk unakua huridhiki hata ukioa kwan ushazoea leo na man utd kesho na simba jmos azam jumanne chelsea, mkikubaliana mambo yanaenda bana
Sex partiners ndio mpango mzima..
hahahaha! hongera kwa research yako,,,tena bora wewe unae onja-onja najua ukiipata radha yako utatulia hapohapo
sema wabongowengi tunapenda kujidanganya
sex ni kama starehe nyingne yeyote... na hapo watu tunatofautiana starehe mwingine pombe mwingine sex mwingine kushabikia ugomviTatizo wabongo wamekariri kuwa mkisex ndio ticket ya kuoana... Nyingne Ni desire tuuu... After tht kila mtu ana maisha yake