Nimenasa!

Nimenasa!

Unakimbilia wapi ww? Muoe huyo huyo si anakujali kwan tatizo nn? Kuhusu malengo mtapanga nae kwann uangaike?
wasalaaam....

Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....

Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...i beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...

Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)

basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....

Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....

To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....
 
umenasa eeenh!...jinasue tu mbona ipo easy tu si huna mpango nae? leta demu ghetto kama kawa akilianzisha unamchana tu "sina mpango na wewe"...haahaahah mchunguze kwanza uone je, ana njuguyugu?,,,kama anazo hama nyumba tu atakusumbua sana

Tehe tehe...poa
 
Wasalaaam....

Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....

Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...I beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...

Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)

Basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....

Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....

To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....

hapo sio wewe umenasa bali yeye,mbona rahisi tu kumuacha hivyo mwambie nina mwanamke wng wa future mimi na wewe it was just an accident.
 
Wasalaaam....

Baada ya mihangaiko yangu ya huku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kweli nahitaji mawazo tofauti na yangu nijinasue.....

Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa sijui nini...I beg them to spare those shits kwa kweli.....by the way nataka nizeeke na full experience...

Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya hivo ila nilizidiwa ujanja)

Basi siku hiyo aliniita tupige stori kwake...saa 3...mara 4..5..6..wakati nataka kurudi kwangu nikapumzike akashauri tulale wote tu haina shida..baada ya hapo you take a gues....

Uyu dada sina malengo nae it was just a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila siku tulale wote kama sio kwake basi kwangu.....

To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake ni ngumu na hatamani kusikia hivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block sababu siwezi tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....

Hehehe..eti umejiblock. kama ulimueleza ukweli sioni tatizo jembe..... we kamata ata baa medi peleka mtambulishe kuwa ndio mchumba wako. Unachoogopa sikione hapo. Unakula wote tu ili mradi ajue kabisa akimuona mwingine anaingina apige kimya kama hawezi achape lapa. usijiue na presha kijana mdogo hivyo.
 
Da! Its a big ishu hata mie nimenaswa ki hivo hivo hata mie nakosa cha kufanya!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
'The biggest coward of a man is to awaken the love of woman without intention of loving her'... well said HOE
 
hapo sio wewe umenasa bali yeye,mbona rahisi tu kumuacha hivyo mwambie nina mwanamke wng wa future mimi na wewe it was just an accident.

Sure..wazo zuri
 
Hehehe..eti umejiblock. kama ulimueleza ukweli sioni tatizo jembe..... we kamata ata baa medi peleka mtambulishe kuwa ndio mchumba wako. Unachoogopa sikione hapo. Unakula wote tu ili mradi ajue kabisa akimuona mwingine anaingina apige kimya kama hawezi achape lapa. usijiue na presha kijana mdogo hivyo.

Hahahaha...
 
Da! Its a big ishu hata mie nimenaswa ki hivo hivo hata mie nakosa cha kufanya!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mwenzio tayar nishapata muarobaini...
 
Back
Top Bottom