Nimemvua pete ya ndoa kwa hasira

Nimemvua pete ya ndoa kwa hasira

Nashukuru mwaya......ntamwambia aje achukue pete yke.Maana maamuz yngu niliyopanga yalikuwa mabaya kqwake.

aje kuchukua wapi? nyumbani kwako lol kwa nini usiipeleke sehemu ukamwagizia kuchukua ni mtazamo wangu.....kila la heri
 
Sasa wewe si nakuoa kabisa kwa age yako,mbona unakimbilia wazee jmn?Kwani unaoa mtu kulingana na age yke o?.......mbona age ni swala dogo sana ktk mapenz ya kwel na nan wakuoa.
 
Hiyo pete ya ndoa kama vipi kaiyeyushe kwa Nchimbi pale Magomeni Mapipa upate Kufu la haja maana zinakuwaga na zaidi ya gramu 5! ( Acha upuuzi wako rudisha kibana andiko cha watu, zinakuwaga na gundu hizo! Utajitia nuksi bure)

Mi kila siku nasemaga In God we trust but in Our Flithy Men We Investigate Further!!!!!!!! Bila kuwa KGB unaweza kuchanwa viwembe vya uso.

Mi naona uachanane nae tu, coz he is pathetic, not worth your efforts. Ni fungu la kukosa tu huyo! Kuna watu hawana hadhi ya kuwalipa kisasa ni upotevu wa nguvu na maarifa tu!
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Amenipgia ss hv....anasema kesho anhitaj tuonane.Nmempa majibu short and clear jmn lkn yamemuudhi nakuniambia atakuja hapa nyumban kunifanyia fujo.Nataka kwenda police kawe ss hv!
 
tafuta wako. alafu unakaa na pete yake ili iwe nini wakati ushajua ana mke? kwani ukikaa na pete yake ndo utampenda tena? heshimu ndoa ya mwenzio ujue "mtenda utendwa"
 
tafuta wako. alafu unakaa na pete yake ili iwe nini wakati ushajua ana mke? kwani ukikaa na pete yake ndo utampenda tena? heshimu ndoa ya mwenzio ujue "mtenda utendwa"
Ww......co ndoa tu,mpk mahusiano ambayo hayajafikia ndoa naiheshimu.Yy kaniambia co pete ya ndoa,nilichukua kwa hasira lkn yy aliridhia,hakulijua hlo?
 
mume wa mtu!!!!!!!! ameibaje? huyu mume wa mtu ndie anakana kuwa hajaoa.
 
sijabadilika bwana...mie naona nyie wanawake u dont feel sorry for urselves. wewe unakaa na jamaa miaka nenda rudi unagegedwa tuu hujihurumii kuwa i need a man that will appreciate and see me as a wife and not a gf which in reality is just a euphemisim for sexmate. sasa hiyo elimu mnayopata mavyuoni haina faida kama iliktakiwa liberate u but actually bado mnajishusha hadhi. wake up and be smart


hahahha ndio maana wengine hapa, miezi mitatu ya mahusiano kufika huwa ni issue isee, yaani nikae na mtu hata sielewi tunaelekea wapi miezi miwili inaisha kabisa, hapana kabisa, huwa naona ni bora kuwa peke yangu tu,
 
Mrudishie mume wa mtu pete yake na uachane nae........na pia usitake mazoea na mkewe........utakuja kuuwawa bure.......
Preta umesahau kuweka ile rangi yako ya pink hivi
 
Last edited by a moderator:
.Na pete ya ndoa tena Gold nnayo hapa na ctak hata kumuona.
kama ni mimi ningekuwa nimeshaiuz na hela zimeshakwisha kabisaaaaaa wala sichelewi aiseee nakushanga unayo mpaka sasa .
 
Back
Top Bottom