nimeshangaa sn kwakweli, sasa hiyo pete itakusaidia nn wakat ushajua ni mume wa mtu? Kwa taarifa tu huyo hana mpango na ww kabisaa, anakupigia cm akupoze na ukiwa mzembe utakubali uongo wake ataendelea kukutumia. Tuma mtu arudishe pete yake vunja kabisa huo uhucano.