Habar zenu wanaJF polen na majukumu ya kikaz.....mm ni bint ambae nilikuwa na mahusiano yakimapenz na kaka mmoja ambyi yalidumu kwa miaka 3 ss lkn ktk kipnd cha mahusiano siku moja ilitokea kwamba mwanaume anataka tuonane lkn gesti jambo ambalo lilinishangaza sana na wala c kawaida kutokea kwa maana walikuwa wamengashiwa nyumba maeneo ya tegeta na mwajiri wke.Nikahoj hlo swala nakujibiwa kuwa ana wagen toka kwao iringa ambae ni mtu na mkewe ndo amewaachia chumba,nilielewa somo nakuendelea na mambo yetu.Alinirudisha mpk nyumban baada yakumaliza kaz yetu kwa siku hyo.....nilipofika nyumban baada yakupumzika nikampgia cm lkn cha ajabu ikapokelewa na mwanamke nakuanza kuniporomoshea matuc,nilishikwa na butwaa nicjue nn chakufanya lkn nikaona nitulie maana nilishikwa na jazba sana kilichoniuma ni kutukanwa kupitia cm ya niliyejua ni mtu wngu.....,nikanyamaza lkn ckusita kuuliza c unajua kupenda tena,akanipa majibu lkn akil ikawa kichwan mwangu.Baada ys muda nikaja kuckia kuwa huyo jamaa ana mke wa ndoa kbs huko iringa kwao na nilipojaribu kumuuliza akakataa katukatu.Mapnz yngu kwake yalipungua lkn kilichokuwa kinanifanya kuendelea nae nikumjua hasa aliyenutukana....tukiwa wote huyo mwanamke alipga cm kwa huyo jamaa nkaipokea nakuanza kumwambia kuwa huyo ni mtu wngu mbele ya mwanaume wke lkn ikazua mtafaruku mkubwa sana,cha ajabu mwanaume nikamkuta na pete ya ndoa nlipomuuliza akasema inamsaidia asitongozwe na watu kwa kwel nilizid kupata hasira nikamvua ile pete na ucku huo nikampgia huyo mwanamke nakumuomba msamaha maana nmekuwa na mtu wke bila kujua.Leo mchana mwanaume ananipgia nakuendelea kukataa naomba mnisaidie mawazo kwa kwel nmekwazika sana.Na pete ya ndoa tena Gold nnayo hapa na ctak hata kumuona.
Mrudishie mume wa mtu pete yake na uachane nae........na pia usitake mazoea na mkewe........utakuja kuuwawa bure.......
Jf kweli amfai nilijui atakuja single mmoja kusema dada tuchat kule natafta mliogadhabiwa na mapenzi lama nyie tuoane najua mtakuwa na heshma kwenye ndoa woite mmh haya binti napta tu
Eti ss hv ananipgia cm....yan nna hasira jmn.Mungu nisaidie!
Si uliamua kukimbilia gari na mafanikio ya mtu hamtaki kuanza chini na vijana wa rika lenu,kula matunda yenyewe ndio hayo,
hebu angalia yule kijana aliyekuwa anakufatilia halafu ukampiga chini kisa hana kitu ona leo maisha yake yanavyoenda vizuri.
Akusaidie kuchukua mme wa mtu ama kusema hapana? Nehi nay
Si uliamua kukimbilia gari na mafanikio ya mtu hamtaki kuanza chini na vijana wa rika lenu,kula matunda yenyewe ndio hayo,
hebu angalia yule kijana aliyekuwa anakufatilia halafu ukampiga chini kisa hana kitu ona leo maisha yake yanavyoenda vizuri.
hivi wanawake naomba niwaulize kitu...inakuwaje unakaa na jamaa miaka zaidi ya miwili hujaolewa? hamjionei huruma kuwa mnagegedwa tuu ama kwa kuwa papauchi haibadulowi!? ebu nanyi jioneeni hiruma bana.
Hahaahaah kijana umebadilíka àu nini?!
ebu tulia vizuri alafu andika tena...
Habar zenu wanaJF polen na majukumu ya kikaz.....mm ni bint ambae nilikuwa na mahusiano yakimapenz na kaka mmoja ambyi yalidumu kwa miaka 3 ss lkn ktk kipnd cha mahusiano siku moja ilitokea kwamba mwanaume anataka tuonane lkn gesti jambo ambalo lilinishangaza sana na wala c kawaida kutokea kwa maana walikuwa wamengashiwa nyumba maeneo ya tegeta na mwajiri wke.Nikahoj hlo swala nakujibiwa kuwa ana wagen toka kwao iringa ambae ni mtu na mkewe ndo amewaachia chumba,nilielewa somo nakuendelea na mambo yetu.Alinirudisha mpk nyumban baada yakumaliza kaz yetu kwa siku hyo.....nilipofika nyumban baada yakupumzika nikampgia cm lkn cha ajabu ikapokelewa na mwanamke nakuanza kuniporomoshea matuc,nilishikwa na butwaa nicjue nn chakufanya lkn nikaona nitulie maana nilishikwa na jazba sana kilichoniuma ni kutukanwa kupitia cm ya niliyejua ni mtu wngu.....,nikanyamaza lkn ckusita kuuliza c unajua kupenda tena,akanipa majibu lkn akil ikawa kichwan mwangu.Baada ys muda nikaja kuckia kuwa huyo jamaa ana mke wa ndoa kbs huko iringa kwao na nilipojaribu kumuuliza akakataa katukatu.Mapnz yngu kwake yalipungua lkn kilichokuwa kinanifanya kuendelea nae nikumjua hasa aliyenutukana....tukiwa wote huyo mwanamke alipga cm kwa huyo jamaa nkaipokea nakuanza kumwambia kuwa huyo ni mtu wngu mbele ya mwanaume wke lkn ikazua mtafaruku mkubwa sana,cha ajabu mwanaume nikamkuta na pete ya ndoa nlipomuuliza akasema inamsaidia asitongozwe na watu kwa kwel nilizid kupata hasira nikamvua ile pete na ucku huo nikampgia huyo mwanamke nakumuomba msamaha maana nmekuwa na mtu wke bila kujua.Leo mchana mwanaume ananipgia nakuendelea kukataa naomba mnisaidie mawazo kwa kwel nmekwazika sana.Na pete ya ndoa tena Gold nnayo hapa na ctak hata kumuona.
Eti ss hv ananipgia cm....yan nna hasira jmn.Mungu nisaidie!