Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Bora wewe kuna dogo langu alifanya huo mchezo akaambiwa mume wake alifariki
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Mkeo sio Malaya....Wala usimfikirie hivo.


Wewe ni Moja ya kundi letu wanaume ambao Huwa tuna lugha nzuri sana ya kutongoza.

Yaan unaweza mfanya Demu akajiona mpya Kila siku Kwa sababu Kila siku una mtongozo mpya mpya.


Hivo usimjaribu.
 
Pia kama umeoa mwanamke na kuanzia kula yake mpaka kazi au biashara ni wewe hapo.

Piga marufuku uwepo wake kwenye mitandao ya kijami.


Kwa sababu huko ndiko anaonana na washikaji wa shule ya msingi...Sekondari, chuo
 
Mkeo sio Malaya....Wala usimfikirie hivo.


Wewe ni Moja ya kundi letu wanaume ambao Huwa tuna lugha nzuri sana ya kutongoza.

Yaan unaweza mfanya Demu akajiona mpya Kila siku Kwa sababu Kila siku una mtongozo mpya mpya.


Hivo usimjaribu.
Aah hii kaka imeshiba
 
Pia kama umeoa mwanamke na kuanzia kula yake mpaka kazi au biashara ni wewe hapo.

Piga marufuku uwepo wake kwenye mitandao ya kijami.


Kwa sababu huko ndiko anaonana na washikaji wa shule ya msingi...Sekondari, chuo
Aisee mitandaoni hayupo isipokua tiktok yaan huyu mwanamke tiktok mnaweza kugombana
 
Kuna issue hapa. Wazinzi wote wanamtukana jamaa eti amefanya ujinga. Trust me. Hawa wote wanaotukana kuwa jamaa kafanya ujinga ni waasherati wakubwa wanaogopa kuwa ujanja wa jamaa ukitumiwa na wenza wao basi watakamatika kirahisi sana.
😁😁😁 wanatumia mbinu ya kumu-attack... jamaa,ajione kafanya makosa....
 
Ukiona mke wako ana mtindo wa kupost vi video clips anabinua binua vimidomo na kitako ujue umeoa danga bado linatafuta mabwana.
Na ukiona mkeo huwa ana ombaomba na kutolea macho hela ndogo ndogo na akisikia hela kubwa anapagawa ujue huyo kuwa mwaminifu labda akiwa mochwari
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Wanawake watakwambia wanaume mnacheat mno, ila ukweli ni kwamba wao huwa na watalaam wa kuficha cheating kuliko sisi ila wanacheat sana tu.
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
khatari sana hiyo kwake na kwako ikibainika:FEMLY:
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Nawaasa enyi wanawake wa JF na wanaume wote. Katu tena katua, usimjaribu mwenza wako kwa sababu utakuwa unafanya kosa la kiufundi
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.


Huu ni mwandiko wa bachelor moumbavu, hatuna wajinga kwenye kambi ya ndoa wa kiwango hichi chako.
 
Mwanamke hachunguziki,huwa wana mapenzi ya "laivu laivu"ambapo ni mumewe/mpenziwe na njemba kama 2 au3 za kumkaanga na kulipa some bills na waume wengne ni wa mtandaoni ambao hao ni changamsha genge na dirty charts!...faith is just a myth,kataa ndoa wasipuuzwe jumla,wana hoja!
 
Back
Top Bottom