Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

Mkuu kama vip muoe tuu maana kama kakuelewa hamna namna.
Dah majaribu sana pia yataka moyo.
Mwenyezi Mungu atupe mioyo thabiti na kuyashinda yote majaribu
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asili
daaaah pole sana inaskitsha sana
ila na wewe bado tu upo nae unacheka nae yan alaf anakufanyia mamb meus au na wewe n mmoja wa mamb hayo una wanawake pemben mana ndege wanaofanana huruka pamoja na unaonekana kama hauna was aisee ila kiufup hamna mapenz hapo mkeo n mke wa mtu so kjana komaaa ila n vema kuacha kukagua sm yake japokua haiwezekan kama umezoea ila kwa hapo omba ukutane nae umuaibishe bila kufanya lolote labda kumpiga hv mana ukmpga kosa sio lake n lako tena mana hao watu mmmmmhhhhh kila hak ipo juu yao alaf washenz
 
Aisee hawa wanawake ni hatari.

Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.

Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.

Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.

NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
Sasa chukua na watoto wake uliozaa nae ukawapime DNA ili sasa uchunguzi ukamilike rasmi, baada ya majibu ya DNA ndiyo utamjua mke wako vizuri!!
 
Dah hawa viumbe kazi kweli kweli... Mungu akikujalia wtt wekeza kwa wanao. Kuna mmoja kafunguliwa saluni ya kike ya kama mil 20. Bado na kodi analipiwa pia na mumewe, usafiri kanunuliwa ila bado analiwa. Kimsingi hawaridhiki unachopunguza namba watakaomla.
 
Ujinga wake uko wapi?
Kumjua mkewe yukoje ni ujinga?
Kweli Kuna watu wa ajabu hii nchi.
hata mi nashangaa halafu wanamtukana hata mimi ilishawahi kunitokea mi hakuwa mke alikuwa mpenzi wangu nilijifanya nimekosea namba huwezi amini alinikubali bila hat kunijua Kwa sura na akasema Yuko tayari kuolewa ni mimi tu kama tukionana nikampenda nilimuita sana maana nilichart nae mwezi mzm asubuhi mapema sana naamushwa na sms nzuri ila mimi halisi Hana time wakati nilikuwa namtake care sana nilimuita sana tulishaachana..
 
ushaniona tik tok !!???
we jamaa mi nakuona kama una akili na vile ni maarufu kumbe ni choko tu!!
Yaan maada ya msingi unaleta uchoko

Ukiwa huna akili jitahidi kuwa makini Nitarudia

“Niligundua kua mke wangu anapenda tik tok hivo nikafungua acc huko??
Kwaiyo ulitaka nifungue acc jf afu nimtext tiktok??

Akili kisoda hizi
jamaa jinga sana hilo hata kama ungekuwa na acc inategemea unatumia vipi watu wanatumia kuposti biashara zao na wana make mpunga Kwa hiyo hiyo TikTok...
 
Oya hawa wanawake jau sanaa huo mchezo mi nishawah fanya kwa wanawake tano na wote wakakubali

Kitu nilichokuja kugundua kwamba mwanamke bhana ndo walivyo yana wana uzaifu mkubwa sana tena sana tena narudia wnawake wa udhaifu mkubwa sana tena wote duniani

Yan hio kitu huwez kuibadilisha kwa mwanamke ndo walivyo na ukisema uchukulie serious kila siku utakuwa unabadilisha wanawake kwasbb huwezi badilish huo mfumo wao

Kitu kikubwa ni wew kuacha tu huo mchezo sababu utakuwa unajiumiza tu wew bila sababu

Itoshe kusema wanawke hawariziki na ndo maana mimi nawachukia sana hawa viumbe na nikiwapata nasmash kabisa bila huruma
Fungua account mpya hapa hapa jf nijaribu mimi tuone kama wanawake wote tuna udhaifu.

Na kitu tutakacho kiongea huko pm kilete hapa uwanjani.

Sijawahi shawishiwa na mwanaume kwa njia yeyote nikatoka kwenye mstari.

Mimi sinaga chenga niko direct.

Mwanaume yeyote atakae soma hapa anaruhusiwa kunijaribu kwa account feki na majibu ayatundike hapa.
 
kabisa, eti wanamuona mjinga akati ni njia nzuri ya kumfahamu mwenzio madhaifu yake ili ujue unaishi vipi. Me pia nishawai mtest mzee kwa number fake (cas hatumii instagam wala ma social network ya kipuuzi) but eeh sitasahau alivonfokea kwa sms hahah,, manake nlijifanya ni mdada wa supermarket hua namuona akija ananivutia sana, aisee aliandika "we binti, me nina mke mzuri sana na watoto wazuri na nawapenda kuliko chochote, toa usenge wako furauni shetan mkubwa, na nikikujua takufanyia kitu mbayo hutanisahau mbuzi wewe",

nkasema moyoni, kweli nina mume
da ulivofika home ukamtunuku kabsa jamaa alichukua point 3 mapema
 
Back
Top Bottom