Staphylococcus Aureus
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,624
- 2,491
- Thread starter
- #201
Mitaani tu kakaHuwa mnawaokotea wapi wake wa hivyo?
Mitaani tu kakaHuwa mnawaokotea wapi wake wa hivyo?
Aaah ushangae nayy anapigiwa hajui tuToa number ya mke wako mkuu, nikupe majibu ya chat zake na mm, utapata jibu wanapotoleea
Sawa mama john!!we mwenyewe huna akili kama mkeo tu maana mwanaume kamili hafanyi ujinga na wajinga......
Hahaa atakuwa hamtosheleziMuoe kwa mara ya pili
Usimuamini mwanamke hata kama kafaAisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu...
AmenMkuu kama vip muoe tuu maana kama kakuelewa hamna namna.
Dah majaribu sana pia yataka moyo.
Mwenyezi Mungu atupe mioyo thabiti na kuyashinda yote majaribu
Acheni kutafuta magonjwa ya moyo.Muombe mkaonjane, trick atakayokuagia ndio ujue anatafunika kila mara
daaaah pole sana inaskitsha sanaAisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asili
Sasa chukua na watoto wake uliozaa nae ukawapime DNA ili sasa uchunguzi ukamilike rasmi, baada ya majibu ya DNA ndiyo utamjua mke wako vizuri!!Aisee hawa wanawake ni hatari.
Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa kupata flow nzuri kwani nadhani huwa anafutaga chats.
Sasa nikatengeneza Akaunti fake TikTok kwa majina tofauti. Wiki nzima tuko tunaenjoy mapenzi mtandaoni muda mwingine namchatisha tuko wote sebuleni yeye anajiachia kumbe ni mimi mume wake. Nimemtongoza na amekubali na amekubali kuolewa tena.
Kifupi huyu inawezekana akitokea jamaa yuko serious anaondoka nae.
NACHUKIA SANA WANAWAKE HOYA HOYA. Tuishi nao lakini tusiwaamini asilimia 90%.
mkuu punguza ukalo wa manenoWewe ndiye mshenzi, mpumbavu na limbukeni wa kutupwa. Unaanza kumjaribu mkeo namna hiyo? Acha ushamba. Ipo siku nawe utato gozwa
hata mi nashangaa halafu wanamtukana hata mimi ilishawahi kunitokea mi hakuwa mke alikuwa mpenzi wangu nilijifanya nimekosea namba huwezi amini alinikubali bila hat kunijua Kwa sura na akasema Yuko tayari kuolewa ni mimi tu kama tukionana nikampenda nilimuita sana maana nilichart nae mwezi mzm asubuhi mapema sana naamushwa na sms nzuri ila mimi halisi Hana time wakati nilikuwa namtake care sana nilimuita sana tulishaachana..Ujinga wake uko wapi?
Kumjua mkewe yukoje ni ujinga?
Kweli Kuna watu wa ajabu hii nchi.
jamaa jinga sana hilo hata kama ungekuwa na acc inategemea unatumia vipi watu wanatumia kuposti biashara zao na wana make mpunga Kwa hiyo hiyo TikTok...ushaniona tik tok !!???
we jamaa mi nakuona kama una akili na vile ni maarufu kumbe ni choko tu!!
Yaan maada ya msingi unaleta uchoko
Ukiwa huna akili jitahidi kuwa makini Nitarudia
“Niligundua kua mke wangu anapenda tik tok hivo nikafungua acc huko??
Kwaiyo ulitaka nifungue acc jf afu nimtext tiktok??
Akili kisoda hizi
Mkuu umempiga na silaha nzito sana😂😂😂Ni kweli hana mume mwanaume kamili hawezi kutumia tiktok labda kama una share na mke wako lipstick
Fungua account mpya hapa hapa jf nijaribu mimi tuone kama wanawake wote tuna udhaifu.Oya hawa wanawake jau sanaa huo mchezo mi nishawah fanya kwa wanawake tano na wote wakakubali
Kitu nilichokuja kugundua kwamba mwanamke bhana ndo walivyo yana wana uzaifu mkubwa sana tena sana tena narudia wnawake wa udhaifu mkubwa sana tena wote duniani
Yan hio kitu huwez kuibadilisha kwa mwanamke ndo walivyo na ukisema uchukulie serious kila siku utakuwa unabadilisha wanawake kwasbb huwezi badilish huo mfumo wao
Kitu kikubwa ni wew kuacha tu huo mchezo sababu utakuwa unajiumiza tu wew bila sababu
Itoshe kusema wanawke hawariziki na ndo maana mimi nawachukia sana hawa viumbe na nikiwapata nasmash kabisa bila huruma
da ulivofika home ukamtunuku kabsa jamaa alichukua point 3 mapemakabisa, eti wanamuona mjinga akati ni njia nzuri ya kumfahamu mwenzio madhaifu yake ili ujue unaishi vipi. Me pia nishawai mtest mzee kwa number fake (cas hatumii instagam wala ma social network ya kipuuzi) but eeh sitasahau alivonfokea kwa sms hahah,, manake nlijifanya ni mdada wa supermarket hua namuona akija ananivutia sana, aisee aliandika "we binti, me nina mke mzuri sana na watoto wazuri na nawapenda kuliko chochote, toa usenge wako furauni shetan mkubwa, na nikikujua takufanyia kitu mbayo hutanisahau mbuzi wewe",
nkasema moyoni, kweli nina mume