Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Ndugu yangu kuna mabinti walishashindikana na kukatiwa tamaa na ukoo mzima achilia mbali familia kama watakuja kuolewa. Seemingly huyo yupo katika mkakati wa kuwaprove wrong ndugu zake tu. Akili za kuambiwa changanya na zako, ila nadhani wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu.Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu