Hafu bahati mbaya ukutwe kapitiwa na kisu cha tarimeDemu wa aina hyo huwa ving'ang'anizi, nakushauri, kuwa makini mkuu.
Bado hajafikia kwenye level ya uchumba
Nilikuwa sijamwambia suala lolote kuhusu kuoanaInategemea ulimtongozaje?
Swaga la kuoa? Jibu lilikuwa ndio?
Unategemea nini?
Mkwerenmecheka kwa fraha + uzuni = wa mkoa gani uyo dem
Papuchi mengine baadaeWakati unamtongoza ulikuwa unataka nini?
Vp ulijikwamua vp mkuu...au uliamua kuoa?hii ishu ilishawahi kunikuta tena ipo sana kwa ma single mother.
Kwann mkuu... Leo kaniambia weekend hii tuwe pamoja na kwamba ataaga ankuja kwangu...huu si msala jamani maana mpaka kumgegeda nshaogopaKama umemuelewa, peleka poa uoe. Tena nakushauri kama unataka kumuacha Usimgegede, laa sivyo itakugharimu!
Kimbia mbio nyingi sana bro, tena usigeuke nyuma hata ukipigiwa miruzi na kelele (Ukiskia hio miruzi na kelele we fikiria jamaa wanakushangilia uzidi kukimbia spidi zaid).
Wa hivi ndio wale ukiwaoa, unaoa pamoja na SHIDA ZOTE ZA UKOO MZIMA, SHIDA ZA MJOMBA, SHIDA ZA BIBI KIJIJINI , SHEMEJI ZAKO, SHIDA ZA "Si yule ndugu yetu aliekua anakuja kukusalimia kijijini, tulivyoenda kutembea kwa babu? Hivi umemsahau kweli?"
WamefanyajeWanaume bana