Nimemtongoza demu wiki moja tu kaenda kuwatangazia ndugu zake kapata mchumba

Mkuu mim ilishawahi kunnitokea hyo within a two weeks yan mbka nikawa naongea na mama yake, alikuwa king'ang'anizi ila mm sikuwa na lengo la kumuoa, yan alianza kunipa malengo mengi ya kimaisha haha, papuchi yenyewe kunipa eti mbka tufunge ndoa.. Aisee nilimpiga chini, nili mblock kila sehem . Akaona kimya ghafla.
 
sasa ulimtongozea nini kama ulikuwa hutaki akutambulishe kwao. Rejea wimbo wa Siri ya nn wa TX Jumbe
 
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu

mademu wa aina hiyo ni ving'ang'anizi hatari na usiombe anase mimba yako utajutaa...
 
Hiyo ndio maana halisi ya BREAKING NEWS sasa mkuu, sio hizi za daladala zimegoma.
 
Hujasema kama alikukubalia au la! Kwani ulivyomuapproach ulikuwa unamaanisha au ulikuwa unabeep tu? mwenzio ameamua kukupigia kabisa.
 
Kama ulimtongoza kwa maneno mazur mazur na ahadi za uongo uongo kwa nini ulalamike kwa mlengwa kufikisha taarifa kwa wahusika?

Jifunze kua mtu mkweli na unaesimamia misingi, mwenye kujali na kuheshim hisia za wengine,
Ni kweli mwanamke huwezi mpata bila kumdanganya ila ni vema ukatumia uongo ambao hautokuja kukuletea matatizo au kukuhamisha ktk malengo yko.
Huyo kazidisha mbwembweedemu kaona hapa ndo penyeweee
 
Wanawake wameumbwa kumwamin mtu hata ktk lugha zao.

Inawezekana kabisa. Ulitumia mbinu ya kumwambia kua unataka kumuoa tena ukawa unamuhakikishia...NANI ANAJUA??????

ulitaka asiamin maneno yako????.

IVO KOSA SIO MWANAMKE, ISPOKUA ,ACHA MBWEMBWE!!!.

kumwambia umuambie wewe, alafu yeye kuwambua nduguze vibaya???? .
 
Amekupenda sana, ameshindwa kuzuia furaha yake, kawaambia watu wake wa karibu juu ya furaha yake, watu wake wa karibu nao furaha yake ni yao ndio maana mama ake kakufurahia.

Kwanini mnapenda kucomplicate mambo hivyo?
 
Wanaume siye hatuna shukran, dada wa watu kakupenda kwel unakuja kulalamika, sio kila mwanamke anataka pesa au familia yake itakutegemea, wengne wanajuwa kusema na shida zao, kama ulipanga kumchezea itakuuma na kama ulipanga umuoe basi nafs hyo, tabia hakuna mkamilifu jambo la muhm mwanamke akupende kwel chochote utachomwambia ukipendi ataacha, huyo yuko kmaisha sio unavotaka weye umgegede ukimbie
 
Wanawake wameumbwa kumwamin mtu hata ktk lugha zao.

Inawezekana kabisa. Ulitumia mbinu ya kumwambia kua unataka kumuoa tena ukawa unamuhakikishia...NANI ANAJUA??????

ulitaka asiamin maneno yako????.

IVO KOSA SIO MWANAMKE, ISPOKUA ,ACHA MBWEMBWE!!!.

kumwambia umuambie wewe, alafu yeye kuwambua nduguze vibaya???? .
Kila kitu kina hatua....huwezi tongoza leo kesho ukatangaza kuoa
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom