ID yako ni nzito mkuu
Kiukweli nilikuwa sijawa na mpango wa kuoaHapo ajakosea kitu nenda kaoe tu
Mkuu nimeshangaa hata bibi yake eti niongee nae kwenye simuKimbia mbio nyingi sana bro, tena usigeuke nyuma hata ukipigiwa miruzi na kelele.
Wa hivi ndio wale ukiwaoa, unaoa pamoja na SHIDA ZOTE ZA UKOO MZIMA, SHIDA ZA MJOMBA, SHIDA ZA BIBI KIJIJINI , SHEMEJI ZAKO, SHIDA ZA "Si yule ndugu yetu aliekua anakuja kukusalimia kijijini, tulivyoenda kutembea kwa babu? Hivi umemsahau kweli?"
Haaaaaa... Kiukweli huyu sikuwa na hata na wazo la kusema ni mke mtarajiwaWe umefeli kabisa braza!!! na we si ungekimbia kwa mom ukamwambia kuwa umepata mke? We vip bana
Nashukuru kwa ushauriMwite mwambie yaliomoyoni.
Basii kwa maana kuolewa sio shida au kuoa tatizo lazima mpeane muda wakujuana tabia kama mtaezana.
Ndio harusi ifuate
Bado maana kwanza tuna wiki mbili bado sijagongaKwanza Mkuu nikuulze tu, Kale kamchezo ka kwichi kwichi amekupa.???? au ndio mbuzi kwenye Gunia
Bado hajafikia kwenye level ya uchumbaKwani wewe siyo mchumba wake?
Vp wewe unataka kuoa??Kama humtaki mwambie kwamba ulikuwa unamtongoza kwa niaba ya rafiki yako, na kwamba kama amekubali utiunganishe, then unipe mawasiliano yake!!!
Haya mambo kwa wamwera huku pande za Kus kawaida sana, bora yako wiki mbona kachelewa huku umebadikishana namba za simu kituo cha kwq mamake hata kaka na baba yake na ukikutana naye wanatia hujambo mwananguMkuu nimeshangaa hata bibi yake eti niongee nae kwenye simu
Umemtongoza na yeye ni wife material. Sasa kuna cha zaidi ya ndoa? Ulitaka uchovye kisha aje ale nani mkuu ?Lakini kwanini hakuniambia kabla hajafanya vile
Wakati unamtongoza ulikuwa unataka nini?Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu
Hiyo tunaiita proactive moveWadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu