kalipeni
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,536
- 1,245
Nimekumbuka mauaji ya archduke Franz Ferdinand na mkewe Sophie june24 1914 Sarajevo Bosnia,
Kama tunakumbuka ilileta taharuki kubwa hadi kupelekea vita ya kwanza ya dunia.
Nchi mwenyeji anajukumu kubwa kuhakikisha ulinzi wa rais mgeni akitua tu kwenye ardhi yako ata walinzi wake hakuna kuwaamini.
Kama tunakumbuka ilileta taharuki kubwa hadi kupelekea vita ya kwanza ya dunia.
Nchi mwenyeji anajukumu kubwa kuhakikisha ulinzi wa rais mgeni akitua tu kwenye ardhi yako ata walinzi wake hakuna kuwaamini.