Nimemsikia Rais Magufuli akiwaambia walinzi wake "Msiwazuie watu wake, watu wake waacheni waje"

Kusikia neno "watu wake" akili yako iliishia kwa walinzi tu! Hukufikiria zaidi ya hapo kweli?
Ujinga mzigo!
 
Shughuli wakikutana AU au SADC ndio mtiti huwepo hasa kipindi kile JK anasafiri sana walikuwa wanagombana kila wakikutana mambo yao protocol huwa wanavunja kuna kukamiana na block entrance Kulipa kisasi mifano mingi subiria waje watupe sirini
 
Kujibu hoja yako zingatia sana kuwa Tanzania ni nchi ya amani, la sivyo haya wala usingeyaona. Protokali kitu kimoja, ulinzi ni kitu kingine. Mwaka 74 au 75 kama sikosei Nyerere na Iddi Amin walihudhuria kikao cha OAU Ethiopia. Iddi Amin na msafara wake wakawa wanamsogea Mwal Nyerere (aliyewahi kufika, amekaa), huku Iddi Amin akimnyoshea mkono Nyerere kama kumsalimia. Mlinzi wa Nyerere akanyanyuka haraka kumsukuma kwa nguvu Iddi Amin (lilikuwa jitu la miraba minne) ikabidi Nyerere amwamrishe Mlinzi wake kwa sauti kali: "Mwache!". Hali ikatulia lakini kukawa mtafaruku protokali ikapita walinzi wa Ethiopia wakaipeleka timu ya Iddi Amin kwingine kabisa. Angekuwa ni Rais Samora Machel au Rais Moi isingekuwa issue.
 
Kiprotokali, mwenyeji ndio mwenye jukumu la kumlinda mgeni na walinzi wake huwa karibu tu kuangalia protocol na hupeana mkakati kwa pamoja. Akiwa ndani ya hotel au makazi waliofikia nje ya hotel mwenyeji huhusika ndani ya hotel ni jukumu la mgeni.

Kuna exceptions kwa wale wanachama 5 wa permanent seat kwenye UNSC tu ambao ulinzi wa viongozi wao muda woteni wa kwao wenyewe
Akija PM wa Uingereza watazuia walinzi wake?
 
Corona ipo si unamuona Jiwe anavyochukua tahadhari.
 
Kujibu hoja yako zingatia sana kuwa Tanzania ni nchi ya amani, la sivyo haya wala usingeyaona. Protokali kitu kimoja, ulinzi ni kitu kingine. Mwaka 74 au 75 kama sikosei Nyerere na Iddi Amin walihudhuria kikao cha OAU Ethiopia. Iddi Amin na msafara wake wakawa wanamsogea Mwal Nyerere (aliyewahi kufika, amekaa), huku Iddi Amin akimnyoshea mkono Nyerere kama kumsalimia. Mlinzi wa Nyerere akanyanyuka haraka kumsukuma kwa nguvu Iddi Amin (lilikuwa jitu la miraba minne) ikabidi Nyerere amwamrishe Mlinzi wake kwa sauti kali: "Mwache!". Hali ikatulia lakini kukawa mtafaruku protokali ikapita walinzi wa Ethiopia wakaipeleka timu ya Iddi Amin kwingine kabisa. Angekuwa ni Rais Samora Machel au Rais Moi isingekuwa issue.
74 na 75 ulikuwa na umri gani mkuu? samahani
 
Hawa walinzi wa Rais wetu Kuna kauweledi Cha intelligence na protocal Wana lack.
Mara nyingi naonaga wakati Rais anasalimia wakati anapoondoka sehemu wanazuia watu wasimpe mkono Rais halafu Rais analazimisha kutoa mkono inakuwa kama ushindani flani Kati ya walinzi na Rais Ila haitoi picha nzuri kwa public mkuu wa PSU afanyie kazi haya mapungufu wakati wa mashiba kulikuwa hakuna haya mambo
ni mapungufu kikweli, ila naona kila zama na kitabu chake
 
Tunamuombea apate anachoona hakipo na kimfaacho yeye maana ukipuuza utanyewa kiurahisi sana na itabaki story tu
 
Mshamba mkubwa Wewe na najua kabisa kuwa Sindano yangu imekuingia vizuri kabisa. Unataka kutulazimisha tujue Wewe ni TISS? Pumbavu!
Iongelee nafsi yako usiongelee kwa uwingi,sema; "Usitake kunilazimisha nijue.." sio kutulazimisha.."

Naona bado unaendelea na taarabu zako hapa halafu ukija achika uje kufungua thd hapa yakutaka ushauri,
Binti angalia Nyumba yako kwanza JF ipo siku zote.
 
Iongelee nafsi yako usiongelee kwa uwingi,sema; "Usitake kunilazimisha nijue.." sio kutulazimisha.."

Naona bado unaendelea na taarabu zako hapa halafu ukija achika uje kufungua thd hapa yakutaka ushauri,
Binti angalia Nyumba yako kwanza JF ipo siku zote.
Swine.
 
Back
Top Bottom