albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,034
- 1,999
UnauhakikaWalinzi wa Raisi yeyote wana mamlaka ya kumlinda raisi wao popote pale aendapo.
UnauhakikaWalinzi wa Raisi yeyote wana mamlaka ya kumlinda raisi wao popote pale aendapo.
alilindwa salama na akarudi kwao salamaObama alipokuja Tanzania ilikuwaje ?
What a waste of brain power.Swine.
Ila mkuu bado hujakata kiu ya swali langu.
Mihe
mihemuko mingine bwana, sasa hapa mkuu unajadili hoja iliyoletwa au umekuja na uzi wako mpya?
Rais anapoenda nchi ya Nje jukumu lanulinzi huwa la mwenyeji wake na kama atahitaji walimzi wake watumike basi kwa maombi maalum au kibali maalum Kutoka ikulu ya mwenyeji au wizara ya itakayokasimishwa madaraka na raisWajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Wanakuwa wameomba katika nchi husika kufanya ulinzi kwa kiongozi wao na pia wanaweza kuomba kulinda maeneo yote muhuni ambayo rais wao atatembelea na hapo walinzi wetu watakuwa wachache sana with high skills kuangalia mwensendo wa wageniMbona Obama alipokuja walinzi wake hawakuwekwa pembeni?
Tatizo la jamaa yetu huwaanajifanya anajua kila kitu, hapo alitaka tu aonekanae anajali sana wageni. Hiyo haikuwa kazi yake, anatakiwa aachie walinzi/usalama wafanye kazi kutokana na taratibu zao. Atakuja kusababisha majnga kwa mambo yake ya kukurupukaWajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Ni ule uzi wa "Utata kuhusu kifo cha Dkt Omari Ali Juma "mwaka 2001Kama hutajali unaweza kuupandisha hapa huo uzi?
Imbecile.What a waste of brain power.
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
22/23 second/third year varsity. Wewe je?74 na 75 ulikuwa na umri gani mkuu? samahani
kina Raila hawo....Mihe
mihemuko mingine bwana, sasa hapa mkuu unajadili hoja iliyoletwa au umekuja na uzi wako mpya?
Wewe uliskia wapiWajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.
Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.
Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
IQ yako ipo below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki.Imbecile.
Umemshtukia jamaa?? Alijuaje hayo na zamani hizo hazikuwepo Tv?? Asijetuambia alikuwa Mwandishi wa Habaru wa Mw. JKN.74 na 75 ulikuwa na umri gani mkuu? samahani
Sure mkuuUmemshtukia jamaa?? Alijuaje hayo na zamani hizo hazikuwepo Tv?? Asijetuambia alikuwa Mwandishi wa Habaru wa Mw. JKN.
Da mkuu shikamoo kabisa, hata maza alikuwa hajashituka, safi na hongera sn22/23 second/third year varsity. Wewe je?