Nimemsikia Rais Magufuli akiwaambia walinzi wake "Msiwazuie watu wake, watu wake waacheni waje"

Ila mkuu bado hujakata kiu ya swali langu.
Mihe

mihemuko mingine bwana, sasa hapa mkuu unajadili hoja iliyoletwa au umekuja na uzi wako mpya?

Inategemea mtazamo wako uko vipi?.
Ethiopia Waziri Mkuu ndio mwenye serekali,Rais hana hadhi kama Rais wa Kenya au Nigeria.

Rais wa Ethiopia ni sawa na Rais wa Israel hawa ni ceremonial.
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Rais anapoenda nchi ya Nje jukumu lanulinzi huwa la mwenyeji wake na kama atahitaji walimzi wake watumike basi kwa maombi maalum au kibali maalum Kutoka ikulu ya mwenyeji au wizara ya itakayokasimishwa madaraka na rais
 
Mbona Obama alipokuja walinzi wake hawakuwekwa pembeni?
Wanakuwa wameomba katika nchi husika kufanya ulinzi kwa kiongozi wao na pia wanaweza kuomba kulinda maeneo yote muhuni ambayo rais wao atatembelea na hapo walinzi wetu watakuwa wachache sana with high skills kuangalia mwensendo wa wageni
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Tatizo la jamaa yetu huwaanajifanya anajua kila kitu, hapo alitaka tu aonekanae anajali sana wageni. Hiyo haikuwa kazi yake, anatakiwa aachie walinzi/usalama wafanye kazi kutokana na taratibu zao. Atakuja kusababisha majnga kwa mambo yake ya kukurupuka
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
 

Attachments

  • IMG_20210126_233156.jpg
    IMG_20210126_233156.jpg
    179.5 KB · Views: 2
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Wewe uliskia wapi
 
Back
Top Bottom