Nimemsikia Rais Magufuli akiwaambia walinzi wake "Msiwazuie watu wake, watu wake waacheni waje"

Nimekumbuka mauaji ya archduke Franz Ferdinand na mkewe Sophie june24 1914 Sarajevo Bosnia,

Kama tunakumbuka ilileta taharuki kubwa hadi kupelekea vita ya kwanza ya dunia.

Nchi mwenyeji anajukumu kubwa kuhakikisha ulinzi wa rais mgeni akitua tu kwenye ardhi yako ata walinzi wake hakuna kuwaamini.
 
Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
Duu hii kali sana bado watu wamelewa siasa tu kuna mengine mengi zaidi ya siasa utashindwa kuwasaidia watoto wako kwa hangover za uchaguzi umeisha maisha yanaendelea. Sio kila kitu Chadema Mbowe hovyo kabisa.
 
Hawa walinzi wa Rais wetu Kuna kauweledi Cha intelligence na protocal Wana lack.
Mara nyingi naonaga wakati Rais anasalimia wakati anapoondoka sehemu wanazuia watu wasimpe mkono Rais halafu Rais analazimisha kutoa mkono inakuwa kama ushindani flani Kati ya walinzi na Rais Ila haitoi picha nzuri kwa public mkuu wa PSU afanyie kazi haya mapungufu wakati wa mashiba kulikuwa hakuna haya mambo
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.

..hapo wanaogopa CORONA.

..ukiona bwana mkubwa kajichimbia Chato wewe mwananchi wa kawaida chukua tahadhari.
 
Kiprotokali, mwenyeji ndio mwenye jukumu la kumlinda mgeni na walinzi wake huwa karibu tu kuangalia protocol na hupeana mkakati kwa pamoja. Akiwa ndani ya hotel au makazi waliofikia nje ya hotel mwenyeji huhusika ndani ya hotel ni jukumu la mgeni.

Kuna exceptions kwa wale wanachama 5 wa permanent seat kwenye UNSC tu ambao ulinzi wa viongozi wao muda woteni wa kwao wenyewe

..kiongozi wa nje huwa anapewa MPAMBE toka Tanzania.

..vilevile ulinzi unakuwa na ushirikiano kati ya mwenyeji na mgeni.
 
Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
endelea kufikiria
 
Mwenyeji wako ndiyo anahakiksha usalama wako mpaka siku utakayoondoka...

Nchi zenye uwezo mkubwa wa kijeshi na kivita ndiyo pekee hua hawataki ulinzi wa mwenyeji badala yake mambo yote hua chini yao...





Cc: mahondaw
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Ila mada zingine bana. Sasa hii itakusaidia nini. Dili na mambo yenye tija,
 
Wajuzi wa mambo naomba mnieleweshe hapa. Nimemsikia rais akiwaambia walinzi wake kuwa wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia kuingia ndani. Wakati tu wameingia Ikulu ndogo ya Chato, zikawa zinatokea zile pilikapilika za kupiga picha, rais Magufuli akasikika akiwaamrisha walinzi wake wasiwazuie watu wa rais wa Ethiopia, na ghafla tbc wakakata sauti, nadhani walikata sauti baada ya kuona labda anachokiongea rais hakitakiwi kusikiwa na public.

Hiki kitendo kimenifikirisha sana. Ina maana walinzi wa rais wa Ethiopia hawana nguvu ya kumlinda rais wao mpaka rais wetu awaamrishe walinzi wake wawachie? Au ulinzi wa marais kutoka nje huwa unakuwa chini ya walinzi wa rais mwenyeji? Maana imeonekana waliwekwa pembeni walinzi wa rais wa Ethiopia na walinzi wa rais wetu.

Mnaojua protoko za haya mambo naomba mnijuze.
Ushauri wangu tu Kwako siku zingine usiamini sana Maelekezo ya Rais bali fuata Utaratibu wa Kiusalama unaopewa na Walinzi wake ili yasikukute.
 
CHADENA ndoo mtaa gani ?
Ukitaka kuzuia Corona hapa nchi badilisha jina la huo ugonjwa badala ya Corona sema "Chadema" na ili watu wajikinge na walindwe mpaka nyumbani mwao sema Mbowe ya puani inauzwa wapi kila nyumba utakuta kuna polisi na mwanajeshi kuzuia Chadema isienee ambayo mda huu ndio korona na watu watavalishwa barakoa wakijua ni Mbowe huyo. Hapo walihisi walinzi wa raisi wa esiopia ni Red briged
 
Acha Uwongo wako Wewe mbona Marais wa Marekani na China walipozuru Tanzania Walinzi wao ndiyo waliwalinda Kiukaribu mno Marais wetu?
Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?

Stress zako za maisha usiniletee mimi mpuuzi wewe,kisha jifundishe kutumia lugha ya staha unapotaka kupingana na mtu kwenye jambo lolote lile.
 
Nyote ni mafalasi na mnasumbuliwa na stress za maisha
Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?

Stress zako za maisha usiniletee mimi mpuuzi wewe,kisha jifundishe kutumia lugha ya staha unapotaka kupingana na mtu kwenye jambo lolote lile.
 
Nimekumbuka mauaji ya archduke Franz Ferdinand na mkewe Sophie june24 1914 Sarajevo Bosnia,

Kama tunakumbuka ilileta taharuki kubwa hadi kupelekea vita ya kwanza ya dunia.

Nchi mwenyeji anajukumu kubwa kuhakikisha ulinzi wa rais mgeni akitua tu kwenye ardhi yako ata walinzi wake hakuna kuwaamini.
Obama alipokuja Tanzania ilikuwaje ?
 
Wewe ni mpuuzi na huna ujualo zaidi ya kupayuka hovyo tu,soma nilichoandika halafu soma na ulichoandika wewe kisha onyesha utofauti uko wapi?

Stress zako za maisha usiniletee mimi mpuuzi wewe,kisha jifundishe kutumia lugha ya staha unapotaka kupingana na mtu kwenye jambo lolote lile.
Sindano imeshaingia na ndiyo maana sasa unaweweseka. Unadhani Watu wote hapa JF ni Hayawani / Wapumbavu kama ulivyo Kinara wao Wewe?
 
Nashauri msemaji wa serikali aje na kutoa majibu,vinginevyo mnatuchosha na ramli zenu
 
Back
Top Bottom