Nimempenda kaka wa x boy wangu

Nimempenda kaka wa x boy wangu

Unatamani kutafunwa naye tu,ushauri wowote hautabadilisha hisia zako ovu zisizo na kikomo.
 
nadhani uko curious ukimkubalia atakupa gari gani...
maana vi passo vishaanza kuchuja kwenye fashion, sahivi wanahonga mark x n.k
 
Kifuatacho ITV wakimaliza wote na baba yao pia house boy wao atakurarua wewe si bure unakigodoro
 
Akitoka kaka yake anakuja baba....utakazwa na familia nzima
Na usikute alipigwa chini na mdogo mtu kwa sababu hizo hizo za kugawa papuchi kwa kila mtu. Wameishamuona ni jamvi la wageni ndio maana wanamfuata. Lol!
 
nadhani uko curious ukimkubalia atakupa gari gani...
maana vi passo vishaanza kuchuja kwenye fashion, sahivi wanahonga mark x n.k
Amuhonge gari gani? Kwa hizo si ni nyonjera za kila mwanaume. Ajiulize amewanunulia wangapi hata amununulie yeye. Weshamuona ni mtu wa kupenda makuu lazima waje kwa gia kubwa ya uongo. Yeye agawe tu hata kwa kumleta mkaa wa nyumbani kwao
 
Shikamooni wakuu,

Jaman apa nshachanganyikiwa kabisaaa sijui kwa nini dunia hainipendi, jana nilienda Mliman city kutembea ghafla nkakutana na kaka wa aliyekuwa mchumba wangu ambae niliachana nae kama two weeks ago.

Katika maongezi yetu akafurahi sana kuonana mie akaniomba nipate dinner pamoja nikamkatalia lakini aliniomba sana mwishowe nkaona any way siyo ishu, basi tukaenda somewhere for dinner.

Baada ya dinner tukaanza kunywa wine na story kibao, mwisho wa yote akaniambia kuwa toka siku ya kwanza aliponiona na mdogo wake alinipenda, nimpe nafasi nikamwambia kwa sasa nina mpenzi mwingine ambaye ni (mkurya wangu niliyefahamiana humu humu)) akananipromis mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kuninunulia gari ya kifahari.

Nikamwambia anipe mda (ikumbukwe ana mke na watoto wa 2) basi tulikunywa sana mwishowe nikamuomba anipeleke nyumbani. Basi tukaingia kwenye gari acha aanze makisi romance sikuelewa chochote

Tukaagana kwamba nitampa jibu leo, kuamka leo asubuhi kantext eti jana aliinjoy sana akinikosa atapata presha, sijamjibu lolote. Of course me huwa nipo wazi sifichi hisia zangu nahisi nampenda pia.

Nishaurini nimpe jibu gani?

Naona wewe unaham ya kuchezewa,Watakugeuza kitenesi hao! Kwanza ushakuwa na mdogo mtu bado kaka mtu mwisho babu yao,Chezea wanaume wewe?
 
kwakuwa tayari ana family usijaribu.mbali ya yote,kuna wakati utahitaji kuwa nae at hte same time mkewe anamhitaji.
 
Bahati mbaya hua sidate na watu wenye majina madogo kama nyie polen
Duh! Dada ni naona Kama vile unavuta:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:. Unasahau kuwa unaishi katika jamii ya kiafrika inayojali maadili. Hebu niambie, ungekuwa umeolewa na kuzaa na huyo mdogo (ingawa upo uwezekano wa watoto wengi kuishia chooni) halafu akakubwaga. Kaka mtu anakuja kukupetipeti, ungempa paupuchi huyo shemejiyo. Kama ndio sasa unaporomosha mitusi ya nini unapoambiwa ukweli
 
Duh! Dada ni naona Kama vile unavuta:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:. Unasahau kuwa unaishi katika jamii ya kiafrika inayojali maadili. Hebu niambie, ungekuwa umeolewa na kuzaa na huyo mdogo (ingawa upo uwezekano wa watoto wengi kuishia chooni) halafu akakubwaga. Kaka mtu anakuja kukupetipeti, ungempa paupuchi huyo shemejiyo. Kama ndio sasa unaporomosha mitusi ya nini unapoambiwa ukweli

Azae wapi wewe....kipindi cha mimba na kulea mb.o amuwachie nani?
 
Ni shida tu
Shida gani tena?! Si umesema huwa hudate wachovu wa humu! Hapohapo unasema mkurya wako umempata humo jamvini! Which is which? Shida yako ni nini, unahitaji 2*3 kila siku? Au njaa yako nini?
 
Aaah! Kumbe wewe ni mmojawapo wa wale machangudoa wa Mlimani City maana siku ya kwanza umetoa denda, romance na 0713.....japo umekataa kutuambia!
 
Back
Top Bottom