Nimempenda kaka wa x boy wangu

Nimempenda kaka wa x boy wangu

mkurya kakuahidi gari la kifahari, na huyo nae katoa ahadi gani mpaka? maana nadhani unababaika na ahadi tuu
 
Mi kwakweli amenikera sana Leo, naona kama anatuzingua tu, sijui hata kama kweli anataka ushauri au kutupotezea muda tu.

We kakukera leo tu? Hivi kumbe hamjamjuaga tu huyu?
 
Tania gari la kifahari......kabla hujaendelea angalia hilo gari analotumia ni aina gani na mke wake pia anatumia nini?
Ushauri: Ni vibaya kutembea na ndugu wa familia moja labda tu endapo mmoja wapo amefariki. Just imagine ex wako anatembea na dada yako au mdogo wako.
 
Achana nae kwanza kaoa wa nn!!! Tafuta bwana mwngne hizo ni pombe tu... Fikiri kabla ya kutenda..
 
Ua very cheap in evrythn...heshimu mwili wako...unajichoresha sana bidada
 
me napendaga warembo kama ww me menager masoko EXIM Bank naomba uni PM nikupeleke Dinner hotel yoyote ya kifahari utakayotaka alaf me ni bonge la hundsome boy business man single achana na huyo mwenye merriage
 
Mkuu unataka kuteketeza familia yote.

Duh! wewe kiboko. Yaani mdogo wake umetengana two weeks ago, bado hujapima VVU unataka kufanya finishing kwa kaka mtu. Shame on you.
 
Mwanzo nilidhani u-mzima, ila sasa nimefahamu kuwa unaumwa>Wachungaji JF, plz changamkieni dili hili.
 
Huyu nyie ndo mnampa umarufu tu hap..mnaweza kukuta mnadeal na mtu mwenye schizophrenia
 
me napendaga warembo kama ww me menager masoko EXIM Bank naomba uni PM nikupeleke Dinner hotel yoyote ya kifahari utakayotaka alaf me ni bonge la hundsome boy business man single achana na huyo mwenye merriage

vocal live bila chenga hapo iko mkononi mbona kugusa tu na kupewa nenda pm utatupa majibu!
 
Back
Top Bottom