Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
futa shkamoo hapo juu kwenye mwanzowa thread yako!!
Ha haaaa ahsante mkuuu
Ungeandika tu kiswahiliBorn to safer
hahaha tena asisahau na kuboldSo umelegea na huwa unakazwa?
Wewe na kasinde ndo makahamba mnaoongoza humu JF.
Yes,I have said thant and You cana print it.
Hapana mkaka nimempenda ana sif zote dah
ana mke na watoto wawili...........
ukimkubalia ndio utakuwa small house ama
If you cant read and understand go back to school!!!! Acha tamaa za mali ulizoaidiwa you will be a one night stand
Shikamooni wakuu,
Jaman apa nshachanganyikiwa kabisaaa sijui kwa nini dunia hainipendi, jana nilienda Mliman city kutembea ghafla nkakutana na kaka wa aliyekuwa mchumba wangu ambae niliachana nae kama two weeks ago.
Katika maongezi yetu akafurahi sana kuonana mie akaniomba nipate dinner pamoja nikamkatalia lakini aliniomba sana mwishowe nkaona any way siyo ishu, basi tukaenda somewhere for dinner.
Baada ya dinner tukaanza kunywa wine na story kibao, mwisho wa yote akaniambia kuwa toka siku ya kwanza aliponiona na mdogo wake alinipenda, nimpe nafasi nikamwambia kwa sasa nina mpenzi mwingine ambaye ni (mkurya wangu niliyefahamiana humu humu)) akananipromis mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kuninunulia gari ya kifahari.
Nikamwambia anipe mda (ikumbukwe ana mke na watoto wa 2) basi tulikunywa sana mwishowe nikamuomba anipeleke nyumbani. Basi tukaingia kwenye gari acha aanze makisi romance sikuelewa chochote
Tukaagana kwamba nitampa jibu leo, kuamka leo asubuhi kantext eti jana aliinjoy sana akinikosa atapata presha, sijamjibu lolote. Of course me huwa nipo wazi sifichi hisia zangu nahisi nampenda pia.
Nishaurini nimpe jibu gani?
Sikatai watu kufanya ujinga, ila ujinga ni kujianika ujinga wako hadharani....kuna siku mtu ataji...(imehifadhiwa) kwa kidole kisha aje kuomba ushauri hapa....ujinga sio alichofanya ila kujianika!
Hizo hisia zinaanzia wapi jamani kama sio ukahaba huo. Anyway chukua hii.
Lakini kumbuka, ukiona msichana anarukaruka sana yaani anabadilisha wanaume mara leo
huyu kesho yule basi ujue ana nyota ya
popcorn."
Msambenugwa.......Tamaa tu na njaa zimekujaa, Yani na ujanja wote huo mpaka leo huna gari unasubiria la kuhongwa na mume wa mtu/xshemeji tena mwenye watoto wawili..KAMA SHIDA TUMEZALIWA NAZO NJAA ISIWE KIKWAZO BWANA.Peleka njaa zako huko.. MAZACOKAA