Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
aisee kwaio amwambie kuwa anatoka na housegirl?
Ifike mahali tuwe huru 'kueksipozi' feeling zetu, hata ukitaka kuua unaweza kuomba ushauri kwa Polisi
aisee kwaio amwambie kuwa anatoka na housegirl?
mtu mzima ashauriw anasapotiwa madhara yakitokea ndipo atajua mbichi na mbivu.kama umeamua kuacha acha na umtoe hapo nyumbani anaweza akamua mkeo ili azid kufaid yy amua mapema mapenzi ya michanganyo ndani ya ndoa ni hatari.Ndugu zangu nisaidieni, natambua ukubwa na uzito wa kusa nililolifanya
We mbona unashabikia sana uzinzi..umevurugwa nn au ulitendwa nyuma?? you are looking so desparate....Hamna kosa hapo bana mbona unajilazimisha kukosa wakati hujakosea
mkamue tu baba, kamua....
We mbona unashabikia sana uzinzi..umevurugwa nn au ulitendwa nyuma?? you are looking so desparate....
Nisaidieni wana jamvi kabla mambo hayaja haribika. Plan yangu nataka nimrudishe kwao lkn hofu yangu ni kwamba anaweza ku-react ukawa uhasama na pengine hata kumwambia mke wangu. Dhamira yangu ni kuachana nae kabisa hata kwa compansation ili kulinda heshima ya ndoa yangu
wana jamvi, nimempenda house girl wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
nifanyeje wana jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
Kama dini inakuruhusu na binti anavutia, basi epuka dhambi ya uzinzi, fuata taratibu husika umuoe....tusipumbazwe na cheo cha hoause girl....
Hata wengine mama zetu walikuwa au ni housegirls...muhimu ni mwanamke na ana haki ya kuolewa pia.
Sasa kwani atoki naye..??aisee kwaio amwambie kuwa anatoka na housegirl?
Ok bi ai evelyn..You dont know es fanya yako tu baba
mambo mengine yahitaji moyo wa chuma hata kuyashauri
Unataka usaliti ndoa yako na kutembea na house gal na bado unakuja hapa kutaka tukushauri ili ufanye hilo
Epuka mahusiano hayo na linda mahusiano yako na mkeo maana kuna mawili unaweza kufanya hilo unalotaka kufanya na akanogewa ikawa balaa kuachana nae au ukimtibua tuu ujue taarifa zinafika kwa mkeo
Tized uko wapi hebu njoo huku
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
Mkuu huyu mbwiga tayari kashabanjua amri ya sita na beki tatu wake sa sijui anataka ushauri wa nini?
Naaaam! Niko hapa Mkuu.
Huyu jamaa tayari keshakula vilivyochachushwa anaomba namna ya kutoka kwenye mtego akiojitegea mwenyewe.
Sina maana mbaya kwa Vijakazi.. ila ukiona mwanaume mwenye akili timamu anatoka na kijakazi wake.. utimamu wa huyu mtu lazima uwe unaacha maswali mengi kuliko majibu.
Phenomenon Lady asante sana kwa ufafanuzi maana nilisoma juu juu nikajua bado anatamani kumbe kashafanya kweliAmeshatoka mkuu ndo maana anasema anashindwa kuacha kila akijaribu anatamani tena
ulishamtia wewe!
Sidhani kama kweli ujui unafanya makosa,ivi uje ujue kama mkeo anatembea na House boy wenu utamuelewa? humvunjii mkeo Heshima peke,unajuvunjia na wewe pia ivi unaanzaje kulala na mfanyakazi? Hadhi yako na heshima yako kama Baba mwenye nyumba iko wapi? utamuangalia jicho gani huyo house Girl mbele ya mkeo? samahani kama ntakua nimekukera lakini ni MBAYA SANAAA...Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.