Nimempenda House Girl Wangu

Nimempenda House Girl Wangu

ndo maana mnatukanagwa na post zenu kabla sijakupa neno zito jibu hili swal shemeji yako yaani mume wa dada yako kaja kukuomba ushauri yupo na situation kama yako ungemjibu nini???????????????????
 
Naaaam! Niko hapa Mkuu.

Huyu jamaa tayari keshakula vilivyochachushwa anaomba namna ya kutoka kwenye mtego akiojitegea mwenyewe.

Sina maana mbaya kwa Vijakazi.. ila ukiona mwanaume mwenye akili timamu anatoka na kijakazi wake.. utimamu wa huyu mtu lazima uwe unaacha maswali mengi kuliko majibu.


mambo mengine yahitaji moyo wa chuma hata kuyashauri
Unataka usaliti ndoa yako na kutembea na house gal na bado unakuja hapa kutaka tukushauri ili ufanye hilo
Epuka mahusiano hayo na linda mahusiano yako na mkeo maana kuna mawili unaweza kufanya hilo unalotaka kufanya na akanogewa ikawa balaa kuachana nae au ukimtibua tuu ujue taarifa zinafika kwa mkeo
Tized uko wapi hebu njoo huku
 
jimegee tu,kwani kumbuka hata mke wako huko alipo anamegwa tu,ila jaribu kumstawisha kiuchumi na kumjenga kisaikolojia mkeo atakaporudi yeye aombe likizo asepe akaimarishe kile ulichomuandalia
 
Muoe awe mke wa pili mkuu sasa utafanyaje manake ushatamani mke wa wenzio.
 
Naaaam! Niko hapa Mkuu.

Huyu jamaa tayari keshakula vikivyochachushwa anaomba namba ya kutoka kwenye mtego akiojitegea mwenyewe.

Sina maana mbaya.. ila ukiona mwanaume mwenye akili timamu anatoka na kijakazi wake.. utimamu wa huyu mtu lazima uwe unaacha maswali mengi kuliko majibu.
Kwani si imenenwa mtu wa jinsi hii huwa hana akili hata kidogo so huyu ndugu hatuna cha kumsaidia . Hii inaonyesha kuwa hafai kuishi na binti asiye mwanae sababu hawezi kuusomesha moyo wake. Unajua si kila kinachpendeza machoni chafaa kuliwa vingine sumu.
 
Mh! Babake hapo huchomoki!

Penzi la house girl ni sawa cocaine, ukianza kuitumia huiachi kirahisi.. Muulize ray c!

Tena wanavyo jitoa kwa moyo wao wote, hauchomoki hapo!

Nakushauri tu umuoe awe nkeo wa pili, haina haja ya kumuacha kwa sababu na yeye ni mwanamke kama alivyo mkeo!

They all share common things like...... Yes!!
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

mshahara wa dhambi ni mauti!
 
Ushatenda dhambi mbaya ambayo wengi tutakuhukumu kwa kuwa hatujawahi kujiweka bayana kwamba tumeifanya dhambi kama hii. Lakini ukweli ni kwamba wapo humu baadhi wamewahi na/au wanaendelea kuwagegeda ma-housegirl zao. Hii inashusha heshima kwa mkeo na watoto wako (kama unao). Unajua sasa watoto wako wanatakiwa kumwita housegirl "mama" na si "dada"?

Jinsi ya kutoka sasa; mchongee kwa mkeo (tafuta sababu ndogo tu) ili mkeo aiingia tu, mshauri mara moja kumwachisha kazi mdada maskini wa watu. Ila plan hiyo kabla haijatekelezwa, mwandae mdada kisaikolojia na umwandalie fidia na namna atavyoendesha maisha yake mbali na familia yako.

Kisha ya hapo nenda kwa kiongozi wako wa dini yako akushauri namna ya kutubu mbele za MUNGU wako.
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

wewe nimpumbuvu endelea naupuzi wako kiongozi,
Mwambie ukweli mkeo nazani atakushari vizuri.
kisha nitumie no yake ya cm kwenye uwanja wa pv smd. mimi sina mke usiulize !
 
Sasa unaomba ushauri ngani!? Wakati mmeshaanza mambo meusi ?? Endelea tu ila subiri music wake kwa wife wako sawa jibaba .we cyo wa kwanza hata Nabii Ibrahim alimuingilia housegirl wake ila music wake c unawona mpaka leo kati ya Waisrael(wtt wa wife) na Waarabu(wtt wa housegirl). Sasa jibaba endelea uweke rahana kwenye kizazi chako.kila la kheri
 
We umempenda au umemtamani?..embu tafakari ndani ya moyo ujue. Na kama umempenda basi mwache mkeo!
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

katubu kwa mkeo
 
Mh! Babake hapo huchomoki!

Penzi la house girl ni sawa cocaine, ukianza kuitumia huiachi kirahisi.. Muulize ray c!

Tena wanavyo jitoa kwa moyo wao wote, hauchomoki hapo!

Nakushauri tu umuoe awe nkeo wa pili, haina haja ya kumuacha kwa sababu na yeye ni mwanamke kama alivyo mkeo!

They all share common things like...... Yes!!

huu ushauri umetoka kwako ama!
 
Back
Top Bottom