Nimempenda House Girl Wangu

Nimempenda House Girl Wangu

Mjomba ww unaonesha unapenda sana kugonga mafulubeki. Hiyo tabia ni mbaya sana. kila mfanyakazi akija utataka umrambeee. Jirekebishe.
 
ah!cjui nisemeje men why?why jamani?yamkini mkeo amejituliza ah!jamani
 
daah..watanzania hatunaga mahusiano mazuri kiroho ndomana kuanguka zambini ni rahisi..
mkuu, nakushauri acha huo mchezo, na anza kusali, dah unaangamia kwakukosa maarifa
 
wana jamvi, nimempenda house girl wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

nifanyeje wana jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

bila shaka wewe ni above 30. Katika hili nalo una hitaji ushauri?

Cc JOSEPH SHALUWA
 
Last edited by a moderator:
Ooh x2 lulu x2
Kweli ndani ya Yesu kuna raha ya ajabu,isiyo na mwisho.
Yesu nakuomba unipe nguvu,nimshinde shetani,nilinde ndoa yangu...
Ooh x2,oooh lulu ipo Mbinguni.. (singing)
😛

"Nlikuwepo":bolt:
 
Una watoto hapo nyumbani? Na je mkeo anasoma mbali? Nijibu hayo ili tushauriane
 
Kula tu baba umlishe wewe, umvalishe wewe, umlaze wewe, umpime wewe wale wengine?
no please kula tu mpe na mimba kabisa
Have you stopped to think about the wife and kids?

Are you thinking as a woman??
 
Stori ya kweli
Nimepata mwanamke tulikaa miezi mitatu bila ya kujuana kisura tulipendana sana siku ya kuonana kila mtu aliridhika na mwenziwe tukaweka leo la kuonana nilimpenda sana kutokana na tabia yake na uzuri nilikuwa najitahidi sana kutafuka ili nipate pesa za mahari bahari mbaya alikuwa anaishi pemba mimi naishi unguja alikuwa anajulikana nyumbani mm ckupata fursa ya kwenda kwao nia yangu ni kwenda kuposa vile vile kila mtu aliapa hato msaliti mwenziwe kuna jamaa kajitokeza kwao kamposa wazazi wake wamekubali kulizwa yeye kasema ana mchumba wake yani ni mm wazee wake wamekataa katukatu na wamempa cku tano za kuachana na mm km hajacha na mm anachiwa radhi na wazee wake nipeni mawazo yenu nifanye nn ?
 
Have you stopped to think about the wife and kids?

Are you thinking as a woman??

Hata sijapoteza muda kuwaza hayo
hujui tu nilivochefukwa, I hate mibaba ya type hii natamani hata kukata hiyo dushe yake.
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.

Hayatuhusu. This is your private business
 
Tulienda kupima VVU. Dunia ya sasa mwenzangu, usalama wake na wangu ulikuwa tunu muhimu kwa tendo tulilodhamiria
 
Duh mkuu hiyo si sahihi kabisa.Ushauri wangu ni bora ukamwamisha huyo housegirl nyumbani kwako mtafutie sehemu nyingine mbali na hapo unapoishi wewe.
 
Nina watoto wawili, miaka 12 kwa 9. Mke wangu anasoma UK

Sasa mbona watoto ni wa kubwa kwa nini kujiweka kwenye mitego.

Sasa fanya hivi ingia gharama nenda kwa mkeo, huku nyuma tafuta pa kuwaacha watoto halafu yeye mrudishe kwao. Ukirudi unakaa kimya.

Hao watoto kama huwezi kulea mwenyewe tafuta mama mtu mzima wa kuwepo mchana usiku anarudi kwake.
 
Back
Top Bottom