Nimempenda House Girl Wangu

Nimempenda House Girl Wangu

mtongoze akikubali kwa ridhaa yake mgegede ila akikataa tafadhali endelea kumjali na kumthamini usije jiwekea visa naye. NB akikubali akili kimkichwa maana tayari utakuwa umefungulia mlango wa migogoro ya ndoa yako ambayo madhara yake ni makubwa sana

Amtongoze mara ngapi mkuu... Ukiona manyoya ujue kaliwa
 
bila shaka wewe ni above 30. Katika hili nalo una hitaji ushauri?

Cc JOSEPH SHALUWA

Mkuu siku hizi kuna thread za ajabu ajabu, sijui ni kuanzisha ili kupima uwezo wa kufikiri wa watu au, kadiri muda unavyokwenda(miaka) uwezo wa kufikiri wa watu unapungua!

Labda angetusaidia, kwanini alienda kupima kwanza!
 
Last edited by a moderator:
Sijui unataka tukusaidie nini hapa,ila siwez kukulaumu coz najua utamu wa housegals
 
Nimeshindwa kuachana nae. Kila nikisema naacha, kisha natamani tena

mkuu hiyo kitu huwezi kuacha hasa ikiwa mke wako hayupo karibu cha msingi huyo binti aondoke hapo nyumbani kwa usalama wa ndoa there is no another options zaidi ya hiyo hiyo ya moto ya mke wako umeizoea so lazima utaendelea kumtamani.
 
Ufanye nini?????? Wewe ulikwenda kupima ili iweje?????????????
Ubongo wako umeshahamia kwenye pumb -u zako, then unakuja kuuliza ufanye nini?

Ningekujibu, ila Sina hakika kama ni wewe unaongea au ni huyo pepo wako wa ngono.
 
Mkuu siku hizi kuna thread za ajabu ajabu, sijui ni kuanzisha ili kupima uwezo wa kufikiri wa watu au, kadiri muda unavyokwenda(miaka) uwezo wa kufikiri wa watu unapungua!

Labda angetusaidia, kwanini alienda kupima kwanza!

hataki tena kutumia condom anaona inampunguzia ladha.
 
Mkule mkuu maisha yenyewe mafupi halafu kwa mfugaji mzuri kondoo analiyenona humchinja na kumla baadala ya kumuuza.
 
Kama dini inakuruhusu na binti anavutia, basi epuka dhambi ya uzinzi, fuata taratibu husika umuoe....tusipumbazwe na cheo cha hoause girl....

Hata wengine mama zetu walikuwa au ni housegirls...muhimu ni mwanamke na ana haki ya kuolewa pia.
 
mambo mengine yahitaji moyo wa chuma hata kuyashauri
Unataka usaliti ndoa yako na kutembea na house gal na bado unakuja hapa kutaka tukushauri ili ufanye hilo
Epuka mahusiano hayo na linda mahusiano yako na mkeo maana kuna mawili unaweza kufanya hilo unalotaka kufanya na akanogewa ikawa balaa kuachana nae au ukimtibua tuu ujue taarifa zinafika kwa mkeo
Tized uko wapi hebu njoo huku

Ameshatoka mkuu ndo maana anasema anashindwa kuacha kila akijaribu anatamani tena
 
mambo mengine yahitaji moyo wa chuma hata kuyashauri
Unataka usaliti ndoa yako na kutembea na house gal na bado unakuja hapa kutaka tukushauri ili ufanye hilo
Epuka mahusiano hayo na linda mahusiano yako na mkeo maana kuna mawili unaweza kufanya hilo unalotaka kufanya na akanogewa ikawa balaa kuachana nae au ukimtibua tuu ujue taarifa zinafika kwa mkeo
Tized uko wapi hebu njoo huku
huyu mbona alisha tafuna sasa anaomba ushauri wa kuacha!!
 
Hilo ni jambo la wewe mwenyewe binafsi kufanya jitihada za dhati za kuacha kulifanya na kujirudi...Sio kuja kutuomba ushauri kwa jambo lililo ndani ya uwezo wako. Watu wanaosaidiwa kutibiwa ni wala unga...wavuta bangi na sio wazinzi wa kutembea na wasichana wa kazi tena katika nyumba unayoishi na mkeo na watoto!!!
 
Back
Top Bottom