Nimempenda House Girl Wangu

Nimempenda House Girl Wangu

Sasa hapo unashindwa kuamua vipi??


Mwenye maamuzi ni wewe,unamtamani msaidizi wako sisi tukusaidie vipi??Vishinde vishawishi,Think about your wife and your kids.Je wewe ungependa mkeo akufanyie hicho ulichomfanyia??

Tafakari Chukua Hatua Epuka Michepuko.
 
Sasa mbona watoto ni wa kubwa kwa nini kujiweka kwenye mitego.

Sasa fanya hivi ingia gharama nenda kwa mkeo, huku nyuma tafuta pa kuwaacha watoto halafu yeye mrudishe kwao. Ukirudi unakaa kimya.

Hao watoto kama huwezi kulea mwenyewe tafuta mama mtu mzima wa kuwepo mchana usiku anarudi kwake.

Unafikiri mama mtu mzima ndio atapona??
 
Ndoa ni takaifu ni iheshimiwe , mtunzie heshima mkeo! mwili ni dhaifu na mlegevu , jaribu kusema hii kila mara KILA NITENDALO NILITENDE KATIKA JINA LA YESU UJICHEKI DHAMIRA IKO VP KWA UNACHOKIFANYA IBILISI YUPO KILA MARA HATUNA BUDI KUMKEMEA ,
 
Aisee inabidi ukisafiri unasafiri na hg wako hakuna kumuacha maana hivyo viantena vyenu havina adabu,je angekuwepo mdogo wake nae ungemtaka yaan aaaarrgggghhh
 
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu. Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
Hueleweki. Hebu nyoosha maneno usaidiwe. Anza na ulizidiwa nini au ulikuwa unaumwa nini? Na ulienda kupima nini? Ni kwa nini ulienda kumpima house girl? Au na yeye alikuwa mgonjwa?
 
Tukushauri nini sasa??We suza tu hapo tayari ushazini nae,hata kwa kutamani
 
Haya maneno uliyoyaandika yabebe kama yalivyo meeleze mkeo, then cha kufanya utakijua fasta


Shame on you
 
Huwezi kumuacha basi oa huyo haus geli ili mbenjuane vzr.
 
Hueleweki. Hebu nyoosha maneno usaidiwe. Anza na ulizidiwa nini au ulikuwa unaumwa nini? Na ulienda kupima nini? Ni kwa nini ulienda kumpima house girl? Au na yeye alikuwa mgonjwa?
Hahahahaaa una maswli mengi kwani wewe ni polisi? ngoja nimsidie kidogo kwa jinsi nilivyomuelewa,yaani amefall in luv kwa HG wake baada ya kuzidiwa na hamu so kabla ya kula ikabidi wapime afya kwanza na alipokula amenogewa sasa hofu yake na pale mke atakaporudi na kukuta HG kapandishwa cheo
 
Kula tu baba umlishe wewe, umvalishe wewe, umlaze wewe, umpime wewe wale wengine?
no please kula tu mpe na mimba kabisa
Yaani ingekuwa kule kwa wakubwa, ningekujibu hadi huyo jamaa angemucha house girl na angetaka akukule wewe...
 
Kula mzigo huo acha kumbwela bana ila tumia kondom usipige kavu ukimchomeka mimba uatoa wawili bila kupenda
 
Mkeo akija atapewa michapo na majiran! Hahaaa poleeeee!
 
Mithali 6:32 Mtu AZINIE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA; AFANYA JAMBO LITAKALOMWANGAMIZA NAFSI YAKE. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika!! Subiri mavuno ya ulichopanda!




Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.

Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam

Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
 
Nisaidieni wana jamvi kabla mambo hayaja haribika. Plan yangu nataka nimrudishe kwao lkn hofu yangu ni kwamba anaweza ku-react ukawa uhasama na pengine hata kumwambia mke wangu. Dhamira yangu ni kuachana nae kabisa hata kwa compansation ili kulinda heshima ya ndoa yangu

Hivi ukiupoteza ufunguo wa mlango wako, na saa zinapita, utalala nje au utavunja mlango? Weye ushavunja mlango tayari, unasema tukufundishe namna ya kutokuivunjia heshima ndoa yako. Hiyo heshima ya ndoa iko wapi?
Mna gegedana kitanda kile kile chako na mkeo, na kuogea bafu ile ile ya mkeo, pichu za mkeo hg ndo huvaa, unasema tukufundishe kuiheshimu ndoa yako. Huenda hg ni mjamzito sasa, tukuambie umfukuze akazalie porini, weye ni MWEHUUU.
 
Back
Top Bottom