chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,086
- 1,021
Baki njia kuu
Michepuko cyo dili
Michepuko cyo dili
Ndugu zangu nisaidieni, natambua ukubwa na uzito wa kusa nililolifanya
Nina watoto wawili, miaka 12 kwa 9. Mke wangu anasoma UK
Umeshindwa kutoka wapi???
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
Unafikiri mama mtu mzima ndio atapona??
Baki njia kuu
Michepuko cyo dili
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
Wana Jamvi, nimempenda house Girl Wangu.
Tumeishi nae miaka mitano sasa na amekuwa mrembo sana. Kila kazi anafanya. Mke wangu ameenda kusoma huku nyumbani nikazidiwa, tukaenda kupima wote tuko salam
Nifanyeje wana Jamvi nimeshindwa kutoka na hivi mke wangu akirudi itakuwa balaa. Nisaidieni.
acha kumshauri mwenzio upuuzi bana, yaani amuoe haousegirl mke wa pili? halafu huyo mke mkubwa anajisikiaje..kuliko kumuumiza mama wa watu machungu yasiyoisha wala kupona ni bora tu amuache na aoe huyo house girl wake..
mnaposhauri angalieni na ya kuongea si kuongea tu..hebu jiweke wewe kwenye viatu vya huyo mke wake, halafu uone ungetoa ushauri gani...mfyuuuuuu