DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,452
- 99,081
Nasubiri jibu piaAisee!!? Ndio dem wako wa kwanza?
Nasubiri jibu piaAisee!!? Ndio dem wako wa kwanza?
Sahii kabisaHakuna kukataa hata cent...
Kwanza am sure hyo pesa hakukopa kwa mama Ni yake
Mwanamke asipokua na upendo wa kweli huwa anashindwa kujizuia kukufanyia uovu. Sio kwamba huyo dada hajui kwamba anachofanya sio sahihi Ila tu Ni kwasababu hampendi mleta mada so anaona liwalo na liwe.Na hiki ndio kitu mleta uzi hajakitambua.
Sijawahi toa hiyo hela kwa mwanamke yani akaitumie peke ake aah weeeee
kama nikitoa akanunue simu namimi niweke laini yangu hiyo simu iwe double line,lain yake 1 na yangu 1
eti 100,000 yote atumie peke ake,sio kwa akili zangu hzi labda awe amenitengeneza kigoma,halafu ndio asusee
Ukisikia kurudi kanisani kwenda kutoa shukrani ya pekeee kwa matendo makubwa Mungu amenitendea,j2 ningeenda tena misa ya kwanza.
Yes hata mimi nliwaz ivo ... kwanza kumbembeleza kwa pesa ulizo tolea jasho ni dalili mbaya sana dharauYaani unamaanisha mama yake aliyemzaa amemkopesha Hela ya kununulia simu Ili wewe uje ulipe,na umelipa amekataa?
Usimpige chini wala usimpe Tena hiyo Hela akiuliza mwambie imetumika na Sina ramani nyingine ,na usiahidi Hela nyingine ataamua kukaa ama kusepa
Wanaume hatueleweki...utakuta atambembeleza na kumuongezeaChukua huu ushauri. Mamako atakushukuru na kukuombea sana ufanikiwe tena na tena. Na machozi ya furaha juu...na kweli utabarikiwa sana na mfuko wako hautapungukiwa.
Ila najua hiyo hela utairudisha tu kwa huyo mdangaji - hasa kama ni pisi kali. Wanaume sisi yaani basi tu
Ni kile kitumbua kilichoumuka kama bofulo na chenye joto joto na mafuta mafuta ya asili kamanda. Kinatutesa sana wanaume basi tu!Wanaume hatueleweki...utakuta atambembeleza na kumuongezea
Wanaume wa JF bahili jamani!!
Nasoma comments mbavu sina daah mtoa mada hebu tafuta hela umpe dada wa watu kwanini ulimuhaidi na huna uwezo
Tupa chini kimeo hicho utakuwa unatafta kwa ajili ya kutimiza mambo yake itakucost sanaNi mpenzi wangu, aliniomba pesa ya kununua simu. Nikamwambia Sina kwa muda ule, Nikamwambia tuangalie baadae kidogo. Alininunua simu na akasema ananunua ila kachukua hela kwa mama yake tutarudisha Nikamwambia sawa. Alisema alichukua laki mbili. Nikamuongeza 50 akanunua simu.
Sasa nilipata dharura kidogo hela ikafanya mambo mengine. Ilivyofika siku ya kumpa Ile laki mbili nikawa Sina laki mbili Nina laki. Nikamuelewesha nimepata emergency. Naomba tulipe laki then baadae tulipe laki akamind. Akazira akasema hataki Tena.
Nikaongea naye, wap, akasema hatak maana natoa promise za uongo. Nimembembeleza lakin wap...kazira, wakuu huyu nimfanye je?
wewee bwana hapanaaMi akinizilia namuwekea vikwazo vya kiuchumi, njaa ikimzidia anaikumbuka Ela yangu.
Anarudi anatambaa, nampa Ela tena na maisha yanaendelea
Chukua hiyo hela mtumie mdgo wako aache kuteseka hivyoNi mpenzi wangu, aliniomba pesa ya kununua simu. Nikamwambia Sina kwa muda ule, Nikamwambia tuangalie baadae kidogo. Alininunua simu na akasema ananunua ila kachukua hela kwa mama yake tutarudisha Nikamwambia sawa. Alisema alichukua laki mbili. Nikamuongeza 50 akanunua simu.
Sasa nilipata dharura kidogo hela ikafanya mambo mengine. Ilivyofika siku ya kumpa Ile laki mbili nikawa Sina laki mbili Nina laki. Nikamuelewesha nimepata emergency. Naomba tulipe laki then baadae tulipe laki akamind. Akazira akasema hataki Tena.
Nikaongea naye, wap, akasema hatak maana natoa promise za uongo. Nimembembeleza lakin wap...kazira, wakuu huyu nimfanye je?