Nimempa makavu mpenzi wangu

Nimempa makavu mpenzi wangu

Ninachoona mimi ninashindwa kucofirm kwamba huyo mdada anamchuna au lah! May be Paul dybala amempenda mdada ambaye mwenye majukumu mengi na pia hana shughuli mjini Ndio Maana anajikuta anabeba mzigo mzima wa bidada na yeye hana kipato kikubwa kama ni hivyo ni ngumu kwahuyo bidada kujiendesha bila msaada wa kijana wetu hapo atajikuta huyo manzi anatafuta mwanaume mwingine wasaidiane na kijana wetu huyu.

Ushauri wangu kwako Paul dybala ili uondokane na hiyo kazia tafuta mwanamke ambaye mpambanaji independent ambaye hamtegemei kwa asimilia 100 mwanaume na mwenye upendo Ndio unaweza ukaendesha vizuri mahusiano yako.
Nimepata mwanga hapa kaka...Ila inabidi nimpe mda mchache Sana kabla siku ajaniomba laki mbili
 
Yaani kwa inavyoonekana huyo dada ana maisha mazuri kuliko huyu muhongaji elfu 15
15k sio ndogo lakini, ndio uwezo wake

Mm hadi 3k nahonga, tunahonga kile tulichonacho jamani si tulikubaliana muhimu ni upendo tu
 
Anaendaa "Moshi"

Mchagaa huyo atakupiga Sanaa huyo mkuu hawanaga HURUMA hapo jiandaee kutuma rambi rambi na nauli ya kurudiaa
 
Yaan unamhonga demu elf 65 alafu unatumia kiswaswadi Cha elf Tano ?
Wakati hiyo 60k unapata Infinix moja ilionyooka na bando la 2000 pamoja na ubwabwa wa buku jero na soda ya mo alafu buku betpawa odds 200 then milion hii Hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom