Nimempa makavu mpenzi wangu

Nimempa makavu mpenzi wangu

Uko sahihi, kama unamiaka chini ya 28 na unafanya kazi ngumu na kipato si toshelevu, jikite katika kujijenga wewe kwanza kwaajili ya future yako.

Watoto wa kike nao wakajifunze kufanya kazi, hata kama hajasoma, anaweza kufanya Kazi saluni, mama lishe, dukani etc. Kumtegemea mwanaume ambaye ni mdogo na hajakuoa ni uonevu.

Ila mdogo wangu sikufichi, itahitaji mwanamke muelewa sana ili akupe papuchi yake kama we humjali kwa mambo yake, uchaguzi ni wako, kutafuta mwanamke muelewa, au kujiunga na Chaputa.
Dah Ushauri mzuri ila una twist Mbovu sana

Sikushauri hata Kidogo kuingia chaputa tafuta Pesa kula vizuri (kula sana mzee) fanya mazoezi kama mwili Upo piga nondo mdogo mdogo kula pushup

Piga joging ila sio sana maana zinakausha LABDA kama wewe ni bonge

Kuwa na Imani mzee nenda ibadani

Najua hapo mtaani Kuna mamanzi wanakuelewa chukua tafuta papuchi punguza mazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka Yuko real
Anawaza na maisha yao ya badae
Ila dada hapana,hamuonei huruma mwenzie
Ipo hivi jamaa alitakiwa ajue ni aina gani ya mwanamke ambaye yupo nae kimahusiano unaweza ukasema mwanamke hampendi Kumbe huyo manzi ni mdada ambaye ana majukumu alafu hana mishe yoyote hapa mjini so anamtegemea mwanaume kwa asilimia zote kwa namna hiyo lazima awe anaombwa sana mwana asipo muomba yeye nani mwingine atamuomba
 
Hapo kijana kimbia kabisa.

Unatafutwa tu akiwa na shida, atakukausha zikiisha humuoni.

Test nzuri kila anapokuomba kama mara 3 hivi jaribu kumjibu huna pesa kabisa utajionea.

Utaona ukimya siku ,wiki na miezi inakua imetoka hivyo.

Hapo umeagwa kiujanja anakwenda msibani siku 3 ambayo kiuhalisia inaweza kuwa na ukweli kidogo sana.
 
Poleni sana wanaume...nyie ni watau muhimu sana kwny mustakabali wa maisha yetu...Mungu awalinde kwakweli...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom