BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
📌🔨🪚Una Miaka Mingapi?
📌🔨🪚Una Miaka Mingapi?
Ni kweli hata mi nimeona niendelee na harakati zangu sababu IPO siku atatokea manzi atanipendaUko sahihi, kama unamiaka chini ya 28 na unafanya kazi ngumu na kipato si toshelevu, jikite katika kujijenga wewe kwanza kwaajili ya future yako.
Watoto wa kike nao wakajifunze kufanya kazi, hata kama hajasoma, anaweza kufanya Kazi saluni, mama lishe, dukani etc. Kumtegemea mwanaume ambaye ni mdogo na hajakuoa ni uonevu.
Ila mdogo wangu sikufichi, itahitaji mwanamke muelewa sana ili akupe papuchi yake kama we humjali kwa mambo yake, uchaguzi ni wako, kutafuta mwanamke muelewa, au kujiunga na Chaputa.
Sema unampenda ndiomaana unaona kunamda anaelewaka ila kiuharisia hakupendi siku akipata mtu anaempa Pesa ndio utajua hujuiShida broo Kuna muda Kama anaeleweka hivi
✋🤚👐🙌👏👏Uko sahihi, kama unamiaka chini ya 28 na unafanya kazi ngumu na kipato si toshelevu, jikite katika kujijenga wewe kwanza kwaajili ya future yako.
Watoto wa kike nao wakajifunze kufanya kazi, hata kama hajasoma, anaweza kufanya Kazi saluni, mama lishe, dukani etc. Kumtegemea mwanaume ambaye ni mdogo na hajakuoa ni uonevu.
Ila mdogo wangu sikufichi, itahitaji mwanamke muelewa sana ili akupe papuchi yake kama we humjali kwa mambo yake, uchaguzi ni wako, kutafuta mwanamke muelewa, au kujiunga na Chaputa
Dahhh!Mkuu Melo, muanzishie jamaa jukwaa lake.
Malalamiko ya kila siku ya maisha yake na mpenzi wake.


Nmecheka sana
kweli, sikuligundua hilo.😂😂😂😂 atakuwa anazo mbili, hiyo aliyoitumia kupigia picha.
Ujue broo Mimi nayafanya yote haya kumfanya atulie na Mimi na ni tulie nifanye maisha maana swala la mke nakuwa nshamaliza Sasa katika kutafa mke ndio mwanzo wa yote hayo kutokea ... mwingine anaweza niambia wasichana wako wengi ASA sikatai ndio nakatafute msichana mbaya ambae sijampenda!?Yani akili inakataa kabisaSasa inakuaje unakuwa Masikini wa PESA na Akili
Elfu 50 Kama upo DSM unanunua mchele kg 20 u unakula mwezi mzima na nusu
Hiyo 15k ungenunua mafuta ya alizeti ukawa unapikia wali ungependeza na kutoka shavu.
Kuwa makini sana Mwanamke mpe vitu vyote ila sio PESA Muda Mwingine set standard
Yaani uharibu elfu 65k with a single day![]()
😁😁😁😁 kwa hiyo achunwe tu au vipiIla mdogo wangu sikufichi, itahitaji mwanamke muelewa sana ili akupe papuchi yake kama we humjali kwa mambo yake, uchaguzi ni wako, kutafuta mwanamke muelewa, au kujiunga na Chaputa
Mkuu Mimi kumhudumia demu wangu sikatai...Ila kwanini iwe ni Kila siku?na siku nyingine si aseme hata 5000 au 3000 ye Kila siku ni 20k,15kTafuta hela mkuu! 15k unalalamika, mtu kaenda msibani ujampa hata hela ya kula njiani.


Ujue broo Mimi nayafanya yote haya kumfanya atulie na Mimi na ni tulie nifanye maisha maana swala la mke nakuwa nshamaliza Sasa katika kutafa mke ndio mwanzo wa yote hayo kutokea ... mwingine anaweza niambia wasichana wako wengi ASA sikatai ndio nakatafute msichana mbaya ambae sijampenda!?Yani akili inakataa kabisa
Pole huo ndo uanaume!Mkuu Mimi kumhudumia demu wangu sikatai...Ila kwanini iwe ni Kila siku?na siku nyingine si aseme hata 5000 au 3000 ye Kila siku ni 20k,15k![]()
Hamna mwanamke hapo unachunwa tu. Usioe hilo jiniShida broo Kuna muda Kama anaeleweka hivi