Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 540
- 2,226
- Thread starter
- #241
Akipumzika labda siku mojaHivi hiyo kila siku unamaanisha j3 mpk j2 anaomba au ni kwa mwezi anaomba mara 3
Akipumzika labda siku mojaHivi hiyo kila siku unamaanisha j3 mpk j2 anaomba au ni kwa mwezi anaomba mara 3
Okay bro...Samahn sijatoa hoja ila nimeuliza swali tu Ili nijue shida Iko wapi kwake au kwa demu.
Yawezekana upo sahihi kabisa 💯 kwa umri wake labda kufanya vitu kama hivyo inakua haviendani.
Umejuaje kama hiyo smart itakuwa ni yake? Hawezi kumuazima mshikaji wake aje atoe kilio hapa afu arejeshe?Anaehoji simu ya batani sidhan kama anaakili timamu!!unashindwa kutumia akili ndogo tu kuwa bila smart JF utaisikia tu
Mwanamke hatulizwi. Anatulia mwenyewe pale anapoanza kujielewa.Ujue broo Mimi nayafanya yote haya kumfanya atulie na Mimi na ni tulie nifanye maisha maana swala la mke nakuwa nshamaliza Sasa katika kutafa mke ndio mwanzo wa yote hayo kutokea ... mwingine anaweza niambia wasichana wako wengi ASA sikatai ndio nakatafute msichana mbaya ambae sijampenda!?Yani akili inakataa kabisa
Umejuaje kama hiyo smart itakuwa ni yake? Hawezi kumuazima mshikaji wake aje atoe kilio hapa afu arejeshe?
Unasubiri ndo uje ukutane na jini mnyonya damu?Mkuu Mimi kumhudumia demu wangu sikatai...Ila kwanini iwe ni Kila siku?na siku nyingine si aseme hata 5000 au 3000 ye Kila siku ni 20k,15k![]()