Nimempa makavu mpenzi wangu

Nimempa makavu mpenzi wangu

Hapana, kama kipato si toshelevu hatakiwi kuchunwa, ndio nikamshauri kuwa ikiwa atapata Mwanamke muelewa waendelee kama sivyo bora kujiunga na Chaputa mpaka pale atakapoona yuko comfortable kutumia pesa zake na mtu mwingine.

Unajua nini, mimi kuna muda naongea kama dada mwenye kijana wa miaka 23, nawaza ikiwa na yeye anachunwa maana yake ni kwamba anachunwa hela zinazotoka kwangu? 😂😂😂😂 kwa kweli maisha hayana balance, tukiwaambia muachane na wanawake hadi mpate vipato vya kueleweka mtatuambi nyege hazina adabu, ndio maana kuna muda dada zenu tunakausha tu hatuwezi kuwashari kuhusu mapenzi.
Nature inafanya kazi yake, hapo kitaalamu unalea watoto wawili.😂
 
Sasa vijana wadogo wanaoweza kufanya maamuzi kama yako wanaweza wasifike 100.

Ngono imechukua 75% ya maisha ya kijana, kumshauri vinginevyo ni kujichosha.

Mimi usinisome kwa huu uzi ukavutiwa na maandishi yangu, ukweli ni kuwa mimi ni muumini wa “mwanamke atunzwe” but with conditions, kwanza awe ameolewa, na kama hajaolewa basi muhusika kipato chake kiwe kinaruhusu na mtunze bila kujiumiza, na ili hili litokee lina conditions zake, kwanza kila mtu ana type ya mtu wake, kila mtu ana mtuwe anayemmudu hivyo akili kichwani mtu wangu.

Katika yote, vijana wadogo waachwe jamani, lets say kijana yuko chuo au hana kazi au yuko shule ukimuomba kitu anatakiwa akapatie wapi??? Ujue mimi hucheka sana baadhi ya mambo yanayoendelea ulimwenguni kwa sasa!
nimekuelewa sana, mno kwenye uliyoyaeleza. Huwa nawaambia vijana wenzangu kupanga n kuchagua. Jikune unapofikia vinginevyo hali itazidi kuwa mbaya,usijitoe ukajinyima hata kwa maendeleo ya future yako kisa mapenzi ambayo yapo tu, mbaya zaidi huyo unaemsotea leo ni ngumu sana kukuvumilia miaka ijayo kama utakuwa haupo stable kiuchumi.

Tuangalie tunapowekeza upendo kama hakuna return nzuri bora uache kuwekeza udili na mambo mengine.

Paul dybala soma hiyo
 
Fatilia hizi chatting Kuna muda ananipa imani kuwa anaweza kuwa anaupendo mfano ni hizi naomba zipitie kaka nijue nikae upande gan

Hapo ndio ananiga anaanza safari usiku huu.View attachment 2792908View attachment 2792909
sawa kwa hizi chat ulizonionesha but ni mwambie kitu upendo haupimwi na chat anazokutumia mimi nilitaka nijue upendo wa matendo je anakusikiliza na anakutii? Anakuheshimu? Ana kutake care?anakuthamini?
 
Fatilia hizi chatting Kuna muda ananipa imani kuwa anaweza kuwa anaupendo mfano ni hizi naomba zipitie kaka nijue nikae upande gan

Hapo ndio ananiga anaanza safari usiku huu.View attachment 2792908View attachment 2792909
Halima a.k.a mima 🤣🤣🤣
Baharia mwenzetu anapitia mule mule tulikopitia enzi zile, bro we kazana kumpa pesa za kusuka huyo ndo wife material sasa.
 
Ushauri mzuri sna huu...Ila kaka nimuachaje Sasa...nimuache ghafla tu?au niwe naendelea kuwasiliana nimuache mdogomdogo...maana nahisi ataona simjali sna na hapa lengo Sio kubomoa...Mimi Kuna mda najikuta nampigia tu hata kitu Cha kukwambia Sina Ila akipokea tu simu najiskia vizuri
Wakuu kafikia huku wewe uko maji ya mabegani bado kunywa vikombe kadhaa update akili... Dybala balance huo upendo usiwe dependence WA faraha from someone utaumia Sana, ndio maana unajiona wewe shida zake zakoo zotee hata kama huna. Hebu tafuta boya vaa usizame kabisa 😄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom