Nimempa makavu mpenzi wangu

Nimempa makavu mpenzi wangu

Unfortunately huu ndio ulimwengu mliopo vijana.

Wengine sisi lived in better old days.
Yes ni kitu kizuri pia maana wajinga wanapokuwa wengi wachache ambao wataendelea kutunza Afya ya Akili Basi watapata MAVUNO makubwa hapo mbele

Tunaona wake kwa waume waliowekeza katika ngono jinsi walivyoua uchumi wao Afya Yao nakuishia kuzaa watoto wasio na baba na baba kuzalisha watoto ambao hata hawezi kuwapa kipande Cha mkate.


Katika hii Dunia usipotambua thamani yako Basi lazima watu watakuwa wanakupa vile ambavyo wao wamevichoka na wewe utaviona vipya


MAARIFA ni utajiri Sana. na ukiona mtu anapamabana Sana kukuambia vitu Vizuri ni for choosen one ujue huyo anataka kukuua na kukuzika ukiwa hai so hapo kijana naona yupo katika usingizi mkubwa wa pono.
 
Nimekuelewa saana na hili nimelitumia saana kuna muda nilikua na hali ngumu kimaisha kiukweli mapenzi niliweka pembeni na nikizidiwa ilikua nachukua sheria mkononi mara moja moja. Au kunaa mabinti hawaombi sana na waanaridhika hata na kidgo au kwao ziwepo hawana tabu saana. Ila binti kwao tia maji unatongoza tu kawa yatima kila hitaji lake ww ndio mtatuzi
Sasa vijana wadogo wanaoweza kufanya maamuzi kama yako wanaweza wasifike 100.

Ngono imechukua 75% ya maisha ya kijana, kumshauri vinginevyo ni kujichosha.

Mimi usinisome kwa huu uzi ukavutiwa na maandishi yangu, ukweli ni kuwa mimi ni muumini wa “mwanamke atunzwe” but with conditions, kwanza awe ameolewa, na kama hajaolewa basi muhusika kipato chake kiwe kinaruhusu na mtunze bila kujiumiza, na ili hili litokee lina conditions zake, kwanza kila mtu ana type ya mtu wake, kila mtu ana mtuwe anayemmudu hivyo akili kichwani mtu wangu.

Katika yote, vijana wadogo waachwe jamani, lets say kijana yuko chuo au hana kazi au yuko shule ukimuomba kitu anatakiwa akapatie wapi??? Ujue mimi hucheka sana baadhi ya mambo yanayoendelea ulimwenguni kwa sasa!
 
Mwanamke sio kila akikuomba kitu unampaa vijana amkeni acheni ujinga mimi mwanamke akiniomba kitu moyo wangu ukiridhia kumpa nitampa na nikiwa sikotayari kumpaa haijalishi ninacho yaan simpiii.
Huyo mwanamke wewe mwenyew ndo umemlea vibaya sababu mwanamke anavoishi na wewe nikutokana na wewe unavyo mlea so huwa wanaenda na mazingira unayo mtengenezea akiwa kila akikuomba kitu wewe chap unampa bas jiandae kisaikolojia.
Narudia tena sio kilakitu mwanamke akikuomba unampa wanaume tuamkeni huo niutumwa na Ujinga mwingine kumuofia au kumuogopa mwanamke et ukimwambia sina atakuonaje au atanuna uo ni useng* wewe mwanaume kuwa kama mwanaume kakuomba hela unaona hauko tayari kutoa hatakaman unayo jinu nimoja tu SINA bhas or NIKIPATA NTAKUPA bhas mambo yakuanza kuji lamba lamba mala ooh sjui baby unajua oooh uo niufala fucking kabsa
 
Wakuu Jana bana wakati napata kifungua kinywa,mpenzi wangu akanicheki kunijulia hali.

Bhasi bana baada ya salamu akanipiga mzinga Tena...eti ananiomba hela akasuke...nikamwambia embu subiri Kwanza ...usitake kuniambia Ile elfu 50k ushamaliza nanimekupa tumeshinda Jana yani siku moja tu usiseme hauna hela...

Nikamwambia sikiliza nikwambie kitu hii tabia ya kipuuzi Mimi siifagiliii Wala Nini kwa maana unanitisha Kwanza naogopa hata kukupigia simu...maana nikipiga simu tu huishiwi Jambo.

Nikamwambia Mimi hela natafuta kwa jasho na unajua na piga kazi ngumu Sasa unapaswa ujue kuwa pesa sitafuti kwa ajili yangu pekee angu Mimi natafuta ili badae tuishi vizuri na pia nataka tufanye biashara ili usikose shughuli ya kufanya..Sasa Kila siku umekuwa nimuhitaji unafikili tutapiga hatua lini?

Akawa mpole Sana na kukiri Sana kuwa amekosea Sana lakini akadai kuwa Hana mtu mwingine wa kumuomba hela,Mimi ndio mpenzi wake Sasa akamuombe nani?

Akaendelea kwa kusema kuwa Ile 50k hakufanya chochote zaidi alinunua gas na chakula ndani kwa hio nywele zake zimefumuka anataka nimpe 15K akasuke...

Mimi nikamwambia sikia ninakupa hii 15k kwa Mara ya mwisho sitokuwa tayari Kila siku kukupa hela pasipo wewe kutokuwa mvumulivu ...

akaniambia anajua na anaelewa kuwa nakwazika ntajisikia vibaya Ila ndio atajirekebisha na hatakua ananiomba Kila siku.

Nikamtumia Kisha nikampotezea siku nzima...ilivofika jioni nikawaza nikasema kwanini nisimwite hata nijipoze machungu kwa Mara ya pili...

Nilivomcheki akasema yuko mjini akiwahi kutoka atapitia ghetto,nikamwambia poa...ilivofika sa tatu usiku akanitumia meseji anaona atachelewa kurudi kwa sabb Kuna ishu anafatilia mjini hivyo lakini nisijali atakuja baada ya siku tatu kwakuwa anaenda msibani..hii kweli nafahamu ni msiba umetokea mkoani Moshi...

Leo asubuhi sa 12 kanipigia na kuniomba msamaha Sana Jana simu yake ilizima Ila Leo hajaomba hela ...akaniambia nisiwaze atanimic Sana kwa hio anaenda msibani atakaa siku tatu...

Mimi kwa Sasa nimeona niwe mpole tu...niendelee na Mambo yangu Kama ni wangu atakuwa wangu tu naona natumia nguvu Sana Hadi moyo unaniuma nikilala usiku.View attachment 2792185
Sisemi hivi kuwachonganisha au kukuvunja moyo, but mm naona kama huyo demu hakupendi, yupo na wewe kwa sababu anai enjoy hivo viela unavomhonga navyo kila siku, mwanamke anayekupenda anakuwa mvumilivu hata usipompa hela, siku ukiishiwa hela hatobaki. Wanawake wanaombaomba hela kwa mtindo huo kuwa nao makini, na usikute ana wapenzi wengine, anza kufanya uchunguzi.

Au kama vipi Achana nae, jijenge kwanza wewe, mmea wakati unakua hauna habari na nyuki, hutumia mbolea na maji inayopata kutengeneza maua mazuri yenye nta, baada ya hapo nyuki huja wenyew....kwaio jitengeneze wewe kwanza.
 
Sema wasichana/wanawake mnatakiwa kuelewa kwamba hawa vijana chini ya miaka 30 katika umri huo wengi wao wanakuwa bado hawajajipata na wapo katika mapambano, mngekuwa mnawaelewa na kuwavumilia ikiwa pamoja na kuwaencourage mngekuwa mnafanya vizuri sana

Kinachosumbua hapa ni ile akili ya mwanamke kujifananisha na mwanamke mwenzake kwamba fulani kahongwa gari na mimi natakiwa kijana wangu anihonge gari noo! Je umecheki na umri wa huyo aliyehonga gari, kuhongwa gari na mtu mwenye miaka 40-50 ni normal kwasababu mwanaume ambaye alianza kufanya kazi kwa bidii kuanzia miaka 25 mpaka anafika hapo anakuwa tyr kashajipata, tofaut na kijana ambaye kuanzia miaka 25 mpk 30 anakuwa ndio kwanza anajipanga,

Mtu mshahara wake kaanza nao ni Laki tano,haya asaidie ndugu zake, alipe kodi na bili zote na akuhudumie wewe vitu vya gharama unavyohitaji na afanye saving hadi hapo mtu atakuwa na ustawi kweli?
 
Sisemi hivi kuwachonganisha au kukuvunja moyo, but mm naona kama huyo demu hakupendi, yupo na wewe kwa sababu anai enjoy hivo viela unavomhonga navyo kila siku, mwanamke anayekupenda anakuwa mvumilivu hata usipompa hela, siku ukiishiwa hela hatobaki. Wanawake wanaombaomba hela kwa mtindo huo kuwa nao makini, na usikute ana wapenzi wengine, anza kufanya uchunguzi.

Au kama vipi Achana nae, jijenge kwanza wewe, mmea wakati unakua hauna habari na nyuki, hutumia mbolea na maji inayopata kutengeneza maua mazuri yenye nta, baada ya hapo nyuki huja wenyew....kwaio jitengeneze wewe kwanza.
Ushauri mzuri sna huu...Ila kaka nimuachaje Sasa...nimuache ghafla tu?au niwe naendelea kuwasiliana nimuache mdogomdogo...maana nahisi ataona simjali sna na hapa lengo Sio kubomoa...Mimi Kuna mda najikuta nampigia tu hata kitu Cha kukwambia Sina Ila akipokea tu simu najiskia vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom