nimemmiss sana

mafiakisiwani

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
833
616
Habri zenu wana JF,huyu mtu nimemmiss sana jamani amepigwa Ban kwa kulog off au imekuwaje?
Kwa jina anaitwa Washawasha,sijamuona toka mwaka jana au na yeye amekumbwa na mafuriko?
Mwenye taarifa zake au udhuru wowote unaomsumbua huyu mwenzetu namuomba anipatie tafadhali.

Miss You Mr. Washawasha,where you at?
 
Kweli kabisa, mie pia nimemmiss sana, sijui amepatwa na nini huyu mwenzetu manake alikuwa na mahudhurio mazuri jf mara ghafla kapotea..
 
Washawasha is missed by most of us! Where iz he? Nalog off
 
hivi ile avator ya washawasha sijui kavaa boga au yule bundi? angekuwepo ningemuuliza. Mia
 
Nimem-miss hata mphamvu, sijui vocha ziliibiwa?
Au alifukuzwa mikocheni karudishwa Tandahimba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom