mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
Habri zenu wana JF,huyu mtu nimemmiss sana jamani amepigwa Ban kwa kulog off au imekuwaje?
Kwa jina anaitwa Washawasha,sijamuona toka mwaka jana au na yeye amekumbwa na mafuriko?
Mwenye taarifa zake au udhuru wowote unaomsumbua huyu mwenzetu namuomba anipatie tafadhali.
Miss You Mr. Washawasha,where you at?
Kwa jina anaitwa Washawasha,sijamuona toka mwaka jana au na yeye amekumbwa na mafuriko?
Mwenye taarifa zake au udhuru wowote unaomsumbua huyu mwenzetu namuomba anipatie tafadhali.
Miss You Mr. Washawasha,where you at?