PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,769
- 16,017
Hivi ndiye huyu aliwatolea watu bastora baada mtoto wake kugombea Ubunge kupitia viti maalum UVCCM, zikamtoka milioni 600 lakini bint akaambulia zero votes?Mwamba alipanda vyeo kwa kasi ya 5g chini ya utawala wa hayati Magufuli.
Alikuwa anapendwa sana na hayati Magufuli, kwenye dili za ujenzi alishiriki sana na vijana wake wa JKT.
Sasa hivi yuko wapi?