The king 07
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 949
- 2,099
Kidabada nkuya
shika kiuno...shika mabega...Kidabada nkuya
haha weeee sitafunwi ovyo mimiKumbe ulikuwa mng'ao,vp wamekutafuna wangapi?
Hani wangu fanya ujirembeeeee, bonge analia bongeeeeee
kalizaliwaga vileeekamzinga kale,kamebeba nyama ya bure
kale
kale
kamebeba nyama ya bure......
[HASHTAG]#841kj[/HASHTAG]man waterunamkumbuka "man water"??? mzee wa "nuah"
.piga nua hilo baba linamapuuzaMwakii yapeleke kinyanambohaha sana tu
ma unfit hayo utayauaYarushie tauro baba
ujirembe halafu tutokeHani wangu fanya ujirembeeeee, bonge analia bongeeeeee




My favorate! Siku naisikia ndo kwa mara ya kwanz baada ya intro napata fursa ya kulala usiku bila ma ovyo ovyo. Maafande walikuw kwenye disco wenzao wakipandishwa vyeo tukamwaga tee uwanjan!malela malela malela...
malela malela waaaangu namtafutaaaa...
Na hawa wengi ndo waliokua "wakudumu"Kwa kutoa issue za chombo hawajambo hawa Kwa mujibu
nalia eeeh..... nalia mama.... nalia eeeh nalia mama...mama TPD...mama napenda jeshi×3
jeshiiiii moraliiii eeeeh...
aiya iya mama(aiya iya)×3
jeeeeshiii moraliii eeeh
hahaha unanipa raha sana....mdogo mdogo eeh (mwendo)
ayeya(mwendo)
eh tutafika we(mwendo)
ayeyaaaaa
mmh subir kwanza....I won't forget hako kawimbo alfajiri ya sa kumi na baridi LA mafinga jamani yale maisha daaa! Japo sometimes tulikuwa tunaona kawaida ila shikamoo jeshi siyo shirika la mkonge