


I won't forget hako kawimbo alfajiri ya sa kumi na baridi LA mafinga jamani yale maisha daaa! Japo sometimes tulikuwa tunaona kawaida ila shikamoo jeshi siyo shirika la mkongemdogo mdogo eeh (mwendo)
ayeya(mwendo)
eh tutafika we(mwendo)
ayeyaaaaa
unamkumbuka "man water"??? mzee wa "nuah"I won't forget hako kawimbo alfajiri ya sa kumi na baridi LA mafinga jamani yale maisha daaa! Japo sometimes tulikuwa tunaona kawaida ila shikamoo jeshi siyo shirika la mkonge
unamkumbuka "man water"??? mzee wa "nuah"










Waliwasha moto kule Changarawe manwoter alitamani awe manmchanga siku ile



yule baba bwanaWakujitolea ndo walimfaidi daaa! siyo kwa maji yaleyule baba bwana
Si ulikuja kulala we lalaaakurutuuuuuuu we laaaaalaaaaaa tuuuu.....




afande kerooo nlikua sikapendiiiii kale yani kakija kombania etu nachomoka mdogo mdogo....kana sifa balaaaSi ulikuja kulala we lalaaa
Siwezi sahau afande alikuwa anajiita kero alikuja kuamsha boys akapuliza kipyenga Mara moja akakimbilia kombania wote ngorongoro tulishona kwa kuchelewa kufoleni ila hapo kila mtu anatukana kimoyomoyo angekuwa anasikia sijui ingekuwaje
Umenikumbusha aisee na jembe mkononiAfande😛anda panda,panda usiogope...hapo tunaelekea komsanga