Nimemisi tu EMUEMUYU

Nimemisi tu EMUEMUYU

mweeeeeee KakaKiiza njo ujibu kabla sijarudi nyumbani mimi sumu itakuwa halali yangu ati lol Baba V weka tangazo lakuvunjika kwa capo ya nivea na KakaKiiza rasmi kaka yangu kipenzi uliyekula mahari Erickb52 njoooooooooooooooooooooo nishike mie nishike mie kakak yangu nimetendwa
nivea, usiwaone hawa vijana kirahisi, hawana maana hawa.
Sasa fanya hiviii......come this way
 
Last edited by a moderator:
KakaKiiza njoo uone huyu

Inaniumiza kuona binti kama wewe ukidanganywa,
Si dhamira yangu kukuumiza kwa ukweli huu, lakini afadhali kuumia kidogo sasa ili kupata furaha tele baadae.
 
Last edited by a moderator:
karibu sana EMUEMUYU kaka LD.
wapo mabinti kama nivea wapowapo kama wewe
Heshima nikitu cha bure tafadhali nakuheshimu sana Bigirita wewe uliambiwa nivea yupoyupo??matani yenu kwenye darasa lenu lajioni ni hukohuko huyu ni mamsapu watu usione yupo darasani ukajua ni single lady!Na wewe nivea huwe unajiintroduzi siyo unakaa kaa kimya kama untegeshea kama machangu wastaarabu wanaofanya kwenye mabenk fulani ukiwakuta ddz,mafia longe,samakix2,bilmonte utajua hawafukuzii kumbe wapo mawindoni!Mimi mchezo huo sitaki!
 
Last edited by a moderator:
habari zenu jamani, natumaini mpo salama..........
Hata mimi nipo Mungu anasaidia, sijafa jamani hadi leo, nimependelewa nipo.
Wazee shikamooni, wadogo hamjambo, masinia wenzangu mambo vipi?

Ahii mi bado nipo kitaa ndugu zangu, hakuna mtu aliyechoka Ubachela aje tufanye mipango tuishi?

Moderators wote naombeni msihamishe thread yangu, hiyo ndio thread niliyonayo.
LD hujambo?... 🙂
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
Naachana na hili lithredi la LD la kutafuta bachela ( LD hebu jaribu vyuo vikuu wanatoa bachela digiriii nyingi tu)...
Sasa naenda kuweka kambi pm!

Usisahau kubeba mahitaji yako muhimu maana hiyo kambi nayo haitabiriki @RR
 
  • Thanks
Reactions: LD

Similar Discussions

Back
Top Bottom