Nimemisi tu EMUEMUYU

Nimemisi tu EMUEMUYU

Heshima nikitu cha bure tafadhali nakuheshimu sana Bigirita wewe uliambiwa nivea yupoyupo??matani yenu kwenye darasa lenu lajioni ni hukohuko huyu ni mamsapu watu usione yupo darasani ukajua ni single lady!Na wewe nivea huwe unajiintroduzi siyo unakaa kaa kimya kama untegeshea kama machangu wastaarabu wanaofanya kwenye mabenk fulani ukiwakuta ddz,mafia longe,samakix2,bilmonte utajua hawafukuzii kumbe wapo mawindoni!Mimi mchezo huo sitaki!
Hahahahahahaaaa....................Hapa naona Masai kaliwa na Ndama------------Wapi Teamo??
 
Last edited by a moderator:
habari zenu jamani, natumaini mpo salama..........
Hata mimi nipo Mungu anasaidia, sijafa jamani hadi leo, nimependelewa nipo.
Wazee shikamooni, wadogo hamjambo, masinia wenzangu mambo vipi?

Ahii mi bado nipo kitaa ndugu zangu, hakuna mtu aliyechoka Ubachela aje tufanye mipango tuishi?

Moderators wote naombeni msihamishe thread yangu, hiyo ndio thread niliyonayo.
LD nafurahi jana nimekuona laivu, I was so happy kumwona mwanajamii forum..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
hahaha...!benchoid na nusu
Hapa kilichibaki ni fitna tu!!
Eti wanajifanya wamegawana hawa viumbe kule ChitChat.....

Benchoid !!!! Wapi nivea.............come this way.
 
Last edited by a moderator:
LD hebu fanya fanya na mimi nikuone .......nasikia huwa unaonekana kirahisirahisi tu!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: LD
Hapa kilichibaki ni fitna tu!!
Eti wanajifanya wamegawana hawa viumbe kule ChitChat.....

Benchoid !!!! Wapi nivea.............come this way.
njoo unase mwenzio kaweka tego??/
 
Last edited by a moderator:
LD hebu fanya fanya na mimi nikuone .......nasikia huwa unaonekana kirahisirahisi tu!
Bigirita wataniona wapi hawa wa watu jamani...........sionekanagi mimi bwana, waongo tu hawa jamaa.
 
Last edited by a moderator:
njoo unase mwenzio kaweka tego??/
Sasa hapa shahidi ni kabaila Kaizer peke yake....
tego kaliweka wapi?....kaweka kote? hata kwenye mikono?
:confused2::confused2:
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom