Nimemisi tu EMUEMUYU

Nimemisi tu EMUEMUYU

Tualia kwanza.......usihamaki.
Unaweza kukosa vitu vizuri hivihivi.

Sasa tuanze na fitna........unajua huyo aliyekubuku ana demu mwenye mimba ya miezi sita? unajua yumo humu kila siku?
Shaurilo.
mweeeeeee KakaKiiza njo ujibu kabla sijarudi nyumbani mimi sumu itakuwa halali yangu ati lol Baba V weka tangazo lakuvunjika kwa capo ya nivea na KakaKiiza rasmi kaka yangu kipenzi uliyekula mahari Erickb52 njoooooooooooooooooooooo nishike mie nishike mie kakak yangu nimetendwa
 
Last edited by a moderator:
Hehehe sasa achana na paka mweusi , hapa habari ni mimi na wewe tu ! tumechoka na kitaaa
Paka Mweusi hausiki na kukaa kwetu kitaa lakini.....we si tushamaliza..........tukutane Kebb's jioni hii tuongee kwa kina.
Huu utaratibu lazima ufanyiwe uchambuzi yakinifu........n
 
Last edited by a moderator:
habari zenu jamani, natumaini mpo salama..........
Hata mimi nipo Mungu anasaidia, sijafa jamani hadi leo, nimependelewa nipo.
Wazee shikamooni, wadogo hamjambo, masinia wenzangu mambo vipi?

Ahii mi bado nipo kitaa ndugu zangu, hakuna mtu aliyechoka Ubachela aje tufanye mipango tuishi?

Moderators wote naombeni msihamishe thread yangu, hiyo ndio thread niliyonayo.

Mshiki nkiki mae..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom