Fumanizi unatakiwa uwe na kifua dada sasa umekuja huku kutafuta ushauri wakati umeyataka mwenyeweJamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
Ujumbe mubashara kabisa ila tatizo wewe ni rafiki yake Bashite!![emoji53][emoji53][emoji53]Umemtumia rafiki yako kumfumaniaje tena wakati ulipanga na rafiki yako!?
Unashangaza kama mwanamke, sasa huyo rafiki yako ukikuta kesho amempa penzi analolitaka miaka yote utafanyaje?
Wewe kama mke ulishindwaje kuyamaliza na mume bila kumtumia rafiki yako.
Unajua wqnaume wanajua kujibu kwa visasi, unamlazimisha akubali nini tena wqkati umemfumania kama unavyodai? Umejichemshia maji ya moto.
Natabiri kumeo kufanya ambayo hata hukutegemea, kwanza umemshushia hadhi kwa kumuabisha live, na walivyo na vinyongo eeeeeh
Umeokoa kwa rafiki, subiri kupata wenzakonhata kumi na watoto wake huko nje.
Haya mambo yanataka utumie akili, kwangu mimi umechemka vibaya mno. Ungetumia njia zingine kuyazima hayo anayofanya. Unalo kama unamjua vizuri basi jaribu kujenga na sio kwenda unapiga tarumbeta kila mahala kumsema.
Usisahau kumchunga huyo rafiki yako aliyekubali kutenda mliyotenda, hakutakii mema. Angekuwa anakutakia mema angetumia njia ingine kumuonyesha kuwa amekuambia na hujui leo kaambiwaje kwa hizo dakika chache na labda kapenda ha ha haaaaa
Kila la kheri.
Unamaanisha baba yako?Ninakumbuka majeraha mama aliyopitia kwa uchungu wa mume
kumbe we ni jike.?Mwache mwanaume uone kazi ya kumpata mwanaume ilivyo ngumu!.......Kuna rafiki yangu wa kike alipendwa na mwanaume fulani yule mwanaume akapeleka hadi mahari kwao cha kushangaza huyo rafiki yangu akamkataa na kumfukuza kisa eti ananipenda mimi,mimi nimemwambia kuwa ataisoma namba na nimemuhakikishia kuwa hatapata tena mwanaume mwingine wa kumuoa!!
Hata kama.kama anapesa na mnakaa kwenye nyumba yenu ohooo msamehe ila kama hana jitafakari tena
Ha ha hakumbe we ni jike.?
Mkuu hujaelewa, soma vizuri au umeamka na hangover ya safari za jana??🙂🙂........Kwenye hiyo comment yangu kuna sehemu nimesema kuwa: alimkataa jamaa na kumfukuza kisa ananipenda mimi!!(hii ndo sentensi katika comment yangu inayodhihirisha kuwa mimi ni me).........Sasa mimi ningekuwa ni jike mwenzake angenipendaje??kumbe we ni jike.?
khee sikuona hapo hatari sana kwa hiyo umeoa?.Mkuu hujaelewa, soma vizuri au umeamka na hangover ya safari za jana??........Kwenye hiyo comment yangu kuna sehemu nimesema kuwa: alimkataa jamaa na kumfukuza kisa ananipenda mimi!!(hii ndo sentensi katika comment yangu inayodhihirisha kuwa mimi ni me).........Sasa mimi ningekuwa jike mwenzake angenipendaje??
akiondoka swala la ndoa lisiwe tena kipao mbeleHata kama.
Unadhani akiondoka ataolewa tena single madha?
Labda awe na lichura kama la familia ya kina masogange. Au awe tipwa tipwa
Sijaoa wala sina mchumba ila yeye ni rafiki yangu tu wa kawaida na siyo mpenzi na ninampenda tu kama rafiki yangu wa kawaida na ninaamini kuwa tukiwa marafiki wa kawaida kutakuwa na utamu zaidi katika maisha yetu kuliko tukiwa wapenzikhee sikuona hapo hatari sana kwa hiyo umeoa?.
umemruhusu awe na mpenzi mwingine?Sijaoa wala sina mchumba ila yeye ni rafiki yangu tu wa kawaida na siyo mpenzi/rafiki wa mapenzi na ninampenda tu kama rafiki yangu wa kawaida na ninaamini kuwa tukiwa marafiki wa kawaida kutakuwa na utamu zaidi kuliko tukiwa wapenzi