Nimemfumania mume wangu live

Fumanizi unatakiwa uwe na kifua dada sasa umekuja huku kutafuta ushauri wakati umeyataka mwenyewe
 
Ujumbe mubashara kabisa ila tatizo wewe ni rafiki yake Bashite!![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe unaamin marafiki pole sn
 
Hakuna mwanaume asiyecheat hata km wapo ni 0.11%, bt mwanaume anayejitambua hata km anacheat hawezi kukuoneshea dharau hata mara moja, so achana kufatilia mumeo hata ukiachana nae huko unakoenda ubaweza ukakuta unaletewa hadi kitandani kwako.
 
Ninakumbuka majeraha mama aliyopitia kwa uchungu wa mume
Unamaanisha baba yako?
Basi nimeshakuelewa mama.
Maombi ni muhimu, wewe hutapitia hio njia.maombi yatavunja vunja hayo mabaya yote .
 
kumbe we ni jike.?
 
Hahahaha msamehe tuu maana wewe uliweka mtego wakati hujajua utatoa adhabu gani ukimkamata....................
 
kumbe we ni jike.?
Mkuu hujaelewa, soma vizuri au umeamka na hangover ya safari za jana??🙂🙂........Kwenye hiyo comment yangu kuna sehemu nimesema kuwa: alimkataa jamaa na kumfukuza kisa ananipenda mimi!!(hii ndo sentensi katika comment yangu inayodhihirisha kuwa mimi ni me).........Sasa mimi ningekuwa ni jike mwenzake angenipendaje??
 
kihere here chako...mwanaume hachunguzwi
 
khee sikuona hapo hatari sana kwa hiyo umeoa?.
 
khee sikuona hapo hatari sana kwa hiyo umeoa?.
Sijaoa wala sina mchumba ila yeye ni rafiki yangu tu wa kawaida na siyo mpenzi na ninampenda tu kama rafiki yangu wa kawaida na ninaamini kuwa tukiwa marafiki wa kawaida kutakuwa na utamu zaidi katika maisha yetu kuliko tukiwa wapenzi
 
By the way, mume wa huyo shosti wako mtamfumanishi lini? Au shosti yeye ameolewa na Malaika?
 
Sijaoa wala sina mchumba ila yeye ni rafiki yangu tu wa kawaida na siyo mpenzi/rafiki wa mapenzi na ninampenda tu kama rafiki yangu wa kawaida na ninaamini kuwa tukiwa marafiki wa kawaida kutakuwa na utamu zaidi kuliko tukiwa wapenzi
umemruhusu awe na mpenzi mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…