Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,487
- 3,356
Ndoa umeshaiharibu hiyo tegemea makubwa zaidi ya hayo, mwanaume hafumaniwi anaefumaniwa ni mwanamke coz ndie anaeolewa,
Acha ujinga ww unajitoa ufahamu sio?? Kisa tumekufuma huku MMU Mubashara
Wapendwa hawachiti !Hakuna mwanaume asiyecheat hata km wapo ni 0.11%, bt mwanaume anayejitambua hata km anacheat hawezi kukuoneshea dharau hata mara moja, so achana kufatilia mumeo hata ukiachana nae huko unakoenda ubaweza ukakuta unaletewa hadi kitandani kwako.
Naunga mkonyo hoja!wewe dada hujifahamu, miaka miwili, muda huo wote unafahamu, leo unamtega, nina uhakika ni rafiki yako ndiye aliyekuambia tumtege. na unafahamu ni kwa nini ? huyu rafiki yako amempa papuchi muda mrefu tu, sasa amenogewa anataka amiliki muhogo. ukijichanganya tu !! yeye muda mfupi ndie atakukaribisha kwenye chumba chako mwenyewe !!
duh nomaWanawake wapumbavu huwa wanawawekea mitego ya hivo waume zao.
Kuna jamaa yangu aliwekewa mtego huo na mkewe na akagundua kuwa kategewa.
Bahati mbaya na huyo rafiki alikuwa anamtamani huyo jamaa.
Siku ya tukio jamaa alipofika eneo la miadi akamwita huyo rafiki kwenye gari.
Akamnyang'anya simu na kusepa naye.
Mke akaishia kulia tu na manyoya.
Dada, usithubutu kumtega mumeo na rafiki yako.
Mfupa hauna ulimi....eeeh sorry ulimi hauna mfupa...Naunga mkonyo hoja!
Hahaaa hahhaaa, siwezi sahau ile burudani!Mfupa hauna ulimi....eeeh sorry ulimi hauna mfupa...
Kuunga mkonyo hoja
Umenifurahisha!Hahahah kuna statement unazisoma and you can't stop wonder kwa nini wanaume wataendelea kututreat as if wametufanyia favor kutuoa. Unamkuta mke wa ndoa kajikatia tamaa huyo jamani mweeh. Na justification yao siku zote " ooh all men cheat una uhakika gani kama huyo mwingine hatocheat", sio kwa kujipa moyo huko khaa. I cant imagine what are we teachin our daughters, kwamba they should just stick with their abusive partners coz all men are the same? God forbid. Unasema tu my man cheats ila me siondoki, why lying to yaself? Abeg
Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba

Ulipokuwa unaweka mtego lengo lako lilikuwa nini?Jamani nimemfumania mumewangu live tena na rafiki yangu amekua akimtongoza huu mwaka wa pili tukaamua kuweka mchongo leo tukamkamata yani asivyo na haya anajitetea huyu rafik yangu ndie kamtongoza huyu mwanaume najiuliza nifanye nini hata msamaha hawezi kuomba
Mwanaume hafumaniwi na mtoto wa kike,
Kufumania sio sifa,
Elekeza hizo nguvu kwenye shughuli za kiuchumi.
Naielewa vizuri sana saikololojia mkuu ,Ushauri wako ni mzuri, swali unaweza tibu malaria kwa kwa kutibu homa?jamani huna taaluma ya usbauri nasaha vyema kunyamaza kuliko kupotosha.mtu kachanganyikiwa kisaikolojia , mbapo hupelekea kuingiabkwenye msongo, utamwambia ahangaikie masuala ya kiuchumi ataweza?Busara mtibu kisaikolojia akili irudi afresh kupambana kutafuta
Amepata alichokitafuta kaomba upele na hana Kucha. Mwache akomehaya mambo hayachunguzwi..utakuja kupata mshtuko wa moyo ukazimia ama ukajifia



Yaani shemeji miss chaga kwa pesa ni balaa. Kwa pesa upo tayari kuvumilia kwa yooote. Nimecheka saaaaaana!kama anapesa na mnakaa kwenye nyumba yenu ohooo msamehe ila kama hana jitafakari tena