Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Kama ni dada haina shida,msamehe tu!

Hizi story za watoto wa wa sekondari asante kwa kutuletea ila shoka unataka kumkata nani? Na je kwani umefumania?Naomba nisipoteze muda, direct to the point.
Leo asubuhi mida ya saa 12 hivi nimetoka kazini maana nilikuwa night shift. Ile nafungua mlango nashangaa uko wazi, nikaamua kuusukuma ili niingie.
Hamadiiii namkuta dada yangu kama alivyozaliwa akiwa na mwanaume ambaye ni jirani yetu.
Nimeshindwa cha kufanya aisee nimewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee. Sitaki ushauri.
We jina lako mwana mtoka pabaya naomba nikuongezee uitwe mwana mtoka pabaya bin kivurugeSema umekuta dada yako ameazima kitanda sio umemfumania. Umfumanie kwani mkeo huyo?
Hapo ulipaswa umpe shemeji yako 20,000 akaendelee kumpa dadako mbegu gesti. Nje ya hapo ni kukosa shukrani kwa watu wanaompa dadako raha
Wewe Ungefanyaje? Usikimbie tu hapa