Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

toka saa 12 asubuhi mpaka sasa hujafanya lolote au ulimkuta dada yako kakunjwa ukaona wivu?
 
Acha wivu kwa dada yako,nakushuri kwanunulie supu ya kongoro na ummpe jamaa hela kwa ajili ya shukrani maana inaonekana jamaa yupo vzuri paka sista kaamua kupika mechi katika uwanja wako bila uoga,

Au laaah utakuwa ume mfumania mkeo unaona aibu kusema umeamua kusema Dada tusikuone Boya
 
Kwanza hapo hujamfumania mkuu, maana dada yako sio mpenzi wako , hivyo huwezi sema umemfumania
 
Take it easy. Maisha ndivyo yalivyo, hata wewe unayemt** pengine ni dada wa mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom