Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

Mwanzo wa story unaweza kusema kweli yamekutokea lakini kwenye aya ya mwisho ndipo nilipogundua kuwa napigwa kamba.
 
Huyu lazima atakuwa mhehe wa ipogoro ndio wana tabia hiyo badala ya kukata watu miguu nenda kajinyonge wewe tu
 
Sema umekuta dada yako ameazima kitanda sio umemfumania. Umfumanie kwani mkeo huyo?

Hapo ulipaswa umpe shemeji yako 20,000 akaendelee kumpa dadako mbegu gesti. Nje ya hapo ni kukosa shukrani kwa watu wanaompa dadako raha

Duuh hii ngumu kumesa
 
Imebidi nicheke tu kumbe Dada nae anauma
Wee hee waangalie hivi hivi kusimamisha vibinti vya watu ati oooh hali halali ngoja amkute Dada yake kasimamishwa atakavyokuwa mkali itakuwa huyo aliyemkuta dada yake anapandwa jamaa ana tafuta shoka kweli
 
Aisee mi ningeua.astakafurwalahi tena,..yaan nilishawambiaga hata majiran,mdogo wangu wa kike nimpendae siku nkija mkuta na mwanaume ni halal yangu,dogo uzur ana akil sana,ila hata hvyo,yaan nikija skia kuna bwege anamsubua mdogo angu wa kike,ntafanya juu chin nim frame kesi ka ya kina bab seya walahi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom