mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
hahaha
mkuu watakuwa watu wamehack account ya dadako
mkuu watakuwa watu wamehack account ya dadako
입니다. 어떠십니까?hahaha upo mpk huku
KUNA TOFAUT KUBWA KATI YA ROHO MTAKAKITU!NA ROHO MTAKATIFUNADHANI HUKUNIELEWAUsirudie ujinga huu...Roho mtakatifu unamuweka kwenye upuuzi huu.
Toka ulipowafumania asubuh mpka muda unatupia thread bado wapo ndani mkuu.Naomba nisipoteze muda, direct to the point.
Leo asubuhi mida ya saa 12 hivi nimetoka kazini maana nilikuwa night shift. Ile nafungua mlango nashangaa uko wazi, nikaamua kuusukuma ili niingie.
Hamadiiii namkuta dada yangu kama alivyozaliwa akiwa na mwanaume ambaye ni jirani yetu.
Nimeshindwa cha kufanya aisee nimewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee. Sitaki ushauri.
Naomba nisipoteze muda, direct to the point.
Leo asubuhi mida ya saa 12 hivi nimetoka kazini maana nilikuwa night shift. Ile nafungua mlango nashangaa uko wazi, nikaamua kuusukuma ili niingie.
Hamadiiii namkuta dada yangu kama alivyozaliwa akiwa na mwanaume ambaye ni jirani yetu.
Nimeshindwa cha kufanya aisee nimewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee. Sitaki ushauri
mkuu hayo maneno niliyoyabold nimecheka mpaka baaasiiii.....
daaahh...JF idumu daim MILELE....
"Nimeshindwa cha kufanya aisee nmewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee.."
Kaona paja la dadake akili imemrukaHujajua cha kufanya huku unasema unaenda kuwakata miguu, mbona hueleweki mkuu au umepagawa.