Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Duuuuh sio wewe uliye kuwa una muacha mkeo na kulala bar?
Sorry kama nime wafananisha!

Hivi thamani ya mke unaijua?
Kumfukuza mke ni sifa?

Hivi swala la unyumba ni lazima au makubaliano?
 
ajabu yake sasa, alimfukuza mkewe, lakini housegirl alibaki kuendelea kulea watoto. usiku ule lazima beki tatu hakufukuzwa.
 
Jf
be carefull siku ya bcb anarudi na "nimemrudisha kipenzi changu""alafu anamwonyesha mkewe angalia awaa washenzi wa jf walivyokuwa wakinishauri...loh choo cha kike hiki siingii
 
ulipo kuwa unamtafuta uliomba ushauri hapa jf au?
Jaribuni kuwa makini wanawake wasiku hzi ni full mziki tena wa kipindikile cha akina bongo kandaman na akina pepe kale
 
You are sooo stupid wewe kijwana. Yaani unamufukuza mami sapu wako halafu unaanza kututangazia ili tuje tumhudumie siyo? Ninsingekuwa baba yako ningekutembelea ili nikupe kibano ujue kuwa siri za chumbani hazipaswi kutoka kufika hata sebuleni achia mbali JF
hahahahah nimecheka hii leo sana sasa wewe Baba Father of All unamkasirikia mwanao anayetaka ushauri wa mke wake aliyemfukuza ndani kwa sababu hapewe unyuma? ungelimuuliza kwa sababu gani hapewi unyumba ili tupate jibu na faida ndani yake? Wewe unaanza kumtolea ukali sas weweni kweli unafaa kuitwa baba?
 
Mkuu Mzizimkavu you are right. Again, nimeudhika kuona huyu mwanangu ana expose mambo bila kutumia hata staha. Hii maana yake ni kwamba hajaelewa somo la jando.
 
Duuuuh sio wewe uliye kuwa una muacha mkeo na kulala bar?
Sorry kama nime wafananisha!

Hivi thamani ya mke unaijua?
Kumfukuza mke ni sifa?

Hivi swala la unyumba ni lazima au makubaliano?

inaonyesha huyu hajakua kiakili na amejawa ujinga wa kijiweni.... Mwanaume mkomavu na anayejua ndoa hawezi kufanya hivi...
 
Niliposoma tu nikagundua kuwa akili yako haijatulia kabisa. Mkeo umewapa wenzio wanajimegea. Ukikua utaacha.
 
pumbavu zako kbs,kwhy unaona sifa sana kumfukuza mkeo usiku. It means wewe ulioa kwaajili ya ngono tu,huenda hujui mbinu za kuomba hiyo kitu.Yaani ningejua ulipo ningeanza na wewe kwanza ningekushughulikia ipasavyo ili ujue kbs kuwa kuna watu wanaoshughulika na unyanyasaji wa wanawake.We ulikuwa ni wa kuchezea kichapo kwanza then unawekwa ndani km wiki moja halafu ndo mambo mengine ndo yanafatia,kiufupi huna sifa ya kuwa baba.Umenikwaza sana!
 
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.

Kumlazimisha kufanya mapenzi hata mke wako ujue umembaka.halafu kumfukuza ni emotional abuse and stealing her freedom of affection .Akushitaki mahakamani
 
vp umeshamrudisha or bado!! Kama umemfukuza tena saana nane usiku kidume rijari unayejiamini then ukajatangaza mmu ukimrudisha usisahau kutangaza
 
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.

Kiufupi hujui ndoa ni nini na zaidi mapungufu unayo wewe,jiongeze si bure :confused2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom