Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Kumbe kuna wengine wanaoa kwa ajili ya kusex tu :A S thumbs_down:
 
Hahaha...mwanaume mzima una hata haya, yaani unakuja hapa na misifa ya kijinga ya kijinga.
Si ajabu umenyimwa unyumba kwa kuwa performance yako ni buree kabisa, lione kwanza kiuno kigumu kama gia ya Leyland DAF.
Yaani ushanikera hebu sogea huko ptuuuuu!!!
 
Hahaha...mwanaume mzima una hata haya, yaani unakuja hapa na misifa ya kijinga ya kijinga.
Si ajabu umenyimwa unyumba kwa kuwa performance yako ni buree kabisa, lione kwanza kiuno kigumu kama gia ya Leyland DAF.
Yaani ushanikera hebu sogea huko ptuuuuu!!!
mtani wangu kuna kanikera mtaani kwangu nikupitie wapi tukampe makavu!aahhahahhahahhahahahahaah mimi hapa tu pa za uso ndo unanipaga raha!
chezeya mnyambara akikasirika wewe!
 
Some of the thoughts which going on in our heads...ooops!
 
Hahahhaa labda unampelea moto wa gesi mpaka inawaka moto hahahahaaa..........................!:becky::becky::becky:
 
Usituletee stori za kijinga kijinga hapa, au weka wazi kabisa umemfukuza kimada wako maana huwezi kumfukuza mke eti kisa unyumba. Pengine unamchafua tu kwa hiyo anaona hata akikupa utampaka shombo tu, be smart kama mwanaume kamili.
 
Kumbe kuna wengine wanaoa kwa ajili ya kusex tu :A S thumbs_down:

Ni moja kati ya vipaumbele vya ndoa.
Vingine hivi kupikiwa, kufuliwa, kutandikiwa n.k
 
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.

na wewe pia wajiita kidume?
Sifa kuu ya mwanaume ni hekima, busara na uvumilivu.
 
Hahaha...mwanaume mzima una hata haya, yaani unakuja hapa na misifa ya kijinga ya kijinga.
Si ajabu umenyimwa unyumba kwa kuwa performance yako ni buree kabisa, lione kwanza kiuno kigumu kama gia ya Leyland DAF.
Yaani ushanikera hebu sogea huko ptuuuuu!!!

hahahaha watu8 umenichekesha.
watu wa namna hii wanaitwa mabwege mtozeni.
ngoja wenye kujua thamani ya mwanamke wamsaidie ndo atakoma kujishau hapa mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Sio vizuri kutoa siri zenu za chumbani huku kitaa, jitahidi kuyamaliza huko chumbani, hata hivyo unaonekana legelege kama chama chako kilivyo pamoja na mkuu wa kaya.
 
God Have Mercy!!!!!!!!!!! Mimi kitu ya kubembeleza hata siioni raha yake.
 
hahahaha watu8 umenichekesha.
watu wa namna hii wanaitwa mabwege mtozeni.
ngoja wenye kujua thamani ya mwanamke wamsaidie ndo atakoma kujishau hapa mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Wewe hii ID umeitoa wapi?
 
Ni moja kati ya vipaumbele vya ndoa.
Vingine hivi kupikiwa, kufuliwa, kutandikiwa n.k
Hakuna mtu anaye owa bila kusex, lakini kuna kitu lazima ujuwe sio kila ndoa ni kwa sababu ya kusex 24 hrs :biggrin1:

Kwa hio kama mke wake yuko kwenye period days huwa anamchukia, afu sioni faida ya kumlazimisha mke wako afanye sex kama hataki :bounce:
 
huyu ndio yule ***** aliyemnyima mkewe chakula cha usiku kama adhabu hadi mke 'alipomuomba msamaha'. wanawake mna kazi!! haya subiri atarudi tena 'kukuomba msamaha'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom