MKUU WA KAYA
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 201
- 66
kwani we si ndo ulikuwa unamnyima ilikuwaje tena ukadai,we ulivokuwa unakimbilia bar?
Achana nae unajua mijitu mingine mipuuzi sana.Ebu fikiri unakunywa pombe mpaka saa sita usiku ndio unakumbuka kurudi nyumbani,mwenzio ameshalala maana yawezekana pia amechoka na shughuri za nyumbani ,ww unataka kudinya ataweza wapi.Mapenzi ni starehe ukiwa na hamu na mwenzio andaa mazingira ,rudi mapema nyumbani uone kama hujapewa vyote!